Matokeo ya waliochaguliwa vyuo TCU

Matokeo ya waliochaguliwa vyuo TCU

TCU watu wanavuna kwa kutumia fixed deposit!
Tungoje board mpya sijui utendaji wake utakuaje!
 
Mizinguo ya TCU.ila tokeo tar4
tcu acheni kutupotezea muda wa kujiandaa na direct cost,matokeo mmeyaficha wapi?.Hiyo jumatatu mtaanzaje usajili mpya na huku matokeo ya walioaplai awali hamjayatoa?
<br />
<br />
 
Haya sasa, saa 11 now, ofisi zinaanza kufungwa lakini bado tu hawajatoa matokeo!
 
Watatoa saa6 kasoro usiku,nimepita pande za tirdo complex wapo ndani wamerudishia mlango tu hawajafunga.wanajitahididi kabla haijafika tar5.
 
Eti jaman div 3 ya penalt inaesabiwaje kwenye mkopo? As two o three
 
Kama ni science haina neno hata kama ni ya 17!!!ila ya art alaf ni ya penalty ni ni two hyo,wanaangalia points kakaa,hawaangalii div.
Eti jaman div 3 ya penalt inaesabiwaje kwenye mkopo? As two o three
<br />
<br />
 
Eti jaman div 3 ya penalt inaesabiwaje kwenye mkopo? As two o three
<br />
<br />
kijana mkopo hauhusiani na madaraja bali mkopo unahusiana na programme utakayokwenda kuisoma chuo.science mwenye three point 17 atapata mkopo 100%.
 
Thanx guys.
Ni arts nna 3 ya 12 bt cja apply eductn. Jus nimeaply all complicated programs ndo zinazonipa uwoga n mkopo japo nilijua kigezo cha yatima kingenibeba..
Ila nna princple zote 3..
 
Mh!wewe mbona kuna mchz wangu wa pcb ana 12 lakn ni div2?
Thanx guys.<br />
Ni arts nna 3 ya 12 bt cja apply eductn. Jus nimeaply all complicated programs ndo zinazonipa uwoga n mkopo japo nilijua kigezo cha yatima kingenibeba..<br />
Ila nna princple zote 3..
<br />
<br />
 
Wewe leo patu acha kupoteza muda kusubiria,bora uingie facebook!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
utafikiri umeniona vile, nipo nina fesibukika! Hahahahaaa
 
Unatumia username gan humo?nitafute andika Ramadhani Van POPEYE
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
utafikiri umeniona vile, nipo nina fesibukika! Hahahahaaa
<br />
<br />
 
Kweli man ujuwe hizi ngoja ngoja zatusumbua wengine kuna mengi ya kuhangaika nayo na sio kuwasubiria Tcu wanatoa nini! Kama walivyotangaza watoe majina ya waliochaguliwa kama ni 2nd round application mchakato uanze iweje kutugandisha muda mwingi? Kama mmo humu naomba jibu.
 
Hey guys, nimesikia matokeo yatatoka tarehe 4 mwezi wa 8.. Hawa jamaa mbona wanatufanyia hivi? Sipendi ahadi za uongo, walisema yatatoka ktk wiki ya kwanza mwezi wa saba, mpaka leo hamna kitu!
<br />
<br />
heko man!
 
Back
Top Bottom