Matokeo ya Yanga vs Tukuyu Star

Matokeo ya Yanga vs Tukuyu Star

Yaani Yanga imefikia kiwango cha kucheza na Tukuyu Stars? Hii band sasa hivi inashuka daraja
Vipi ķuhusu hawa jamaa?
tapatalk_1545902038652.jpeg
 
Gor Mahia walishachukua kombe la Washindi (CAF Winners Cup) kwa kuifunga Al-Ahly. Kweli wewe ni mtoto mdogo bado


Umesoma uzi wangu vizuri lakini? Nimesema Simba ndiyo timu pekee ya ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati kutinga fainali kombe la CAF (mabingwa), wewe unaongelea kombe la Washindi, unazo kichwani kweli wewe au ulibanwa tu na mavi?
 
Umesoma uzi wangu vizuri lakini? Nimesema Simba ndiyo timu pekee ya ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati kutinga fainali kombe la CAF (mabingwa), wewe unaongelea kombe la Washindi, unazo kichwani kweli wewe au ulibanwa tu na mavi?

Niambie mwaka ambao Simba waliingia fainali ya kombe la "CAF (Mabingwa)" na walicheza na timu gani. Halafu tujue nani asie nazo au mwenye nazo kichwani.

Na kuonyesha kuwa wewe hujui ulichokiandika ni kuwa CAF Champions League ya leo ilikuwa Klabu Bingwa ya Afrika zamani (Sports Club Villa ilishawahi kuingia fainali) na kombe la CAF Confederation Cup ambao Simba waliingia fainali lilikuwa linaitwa Kombe la Washindi (ambalo Gor Mahia walishinda).
Btw: Mtu anaetukana wenzie kwa aina yako 99.9% huwa hawajui walisemalo. Prove me wrong here.
 
Back
Top Bottom