Msurinyoka
Member
- Apr 14, 2013
- 51
- 4
bado hayajatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kati yangu mimi na wewe nani kakurupuka,kama unajua yametoka wala usingeingia hapa,na wewe ulikurupuka pia kuingia hapa ili ujue kama kweli yametoka,acheni stress kisa watoto wetu na wadogo zetu wamefeli,inaumiza wote tufikirie cha kufanya na sio kuurupuka,mm nimepita vyanzo vyote bfor cjapost hapa so najiamini sikukurupuka,na kama niliamua kuja hapa nikwasababu najua hapa kuna watu wakila sector na wanaweza kuwa na majibu mazuri na sio kama wewe.amani sana
bado hayajatoka
Asanteni,kuna mdogo wangu anasema wenzie wameshayapata nimuangalizie sasa nimechek kila mahali cjayaona,nikaona niulize hapa
nimepigiwa na mdogo wangu aliyeko shule,akaniambia niangalizie matokeo yangu tafadhali wenzangu wote wameshajua yao,na tumemrudisha darasa,kasharipoti shule.sasa mimi nimeshachek link zote hamna,nikaona ci vbaya niwaulize waungwana just kushangaa mnavojibu vby hapo kosa ni lipi?kama ni heading je yangekuwa yametoka si mngeanza kusema wewe uko wapi mpaka sasa hujajua, mfikirie sana nyie kama kweli ni great,ngoja niwatolee uvivu wanaojibug mbovu wote leo
-Tukiacha siasa na ushabiki, mkuu mbona NECTA wako sahihi kabisa?afu tunawalaumu necta tazama heading kisha soma na uzi husika
-Tukiacha siasa na ushabiki, mkuu mbona NECTA wako sahihi kabisa?
dah! kweli mzazi watolee uvivu,hivi ni yule mdogo wako aliyechora mazombi ndio ameambiwa na wenzake walioandika bongo fleva kuwa mzigo umetoka,any way umefanya la mana kumrudisha darasa anaweza hata akajifunza kuchemsha na kuiandaa midahalo tayari kwa kuila,dah hiki kizazi cha mulugo!!!!nimepigiwa na mdogo wangu aliyeko shule,akaniambia niangalizie matokeo yangu tafadhali wenzangu wote wameshajua yao,na tumemrudisha darasa,kasharipoti shule.sasa mimi nimeshachek link zote hamna,nikaona ci vbaya niwaulize waungwana just kushangaa mnavojibu vby hapo kosa ni lipi?kama ni heading je yangekuwa yametoka si mngeanza kusema wewe uko wapi mpaka sasa hujajua, mfikirie sana nyie kama kweli ni great,ngoja niwatolee uvivu wanaojibug mbovu wote leo
dah! kweli mzazi watolee uvivu,hivi ni yule mdogo wako aliyechora mazombi ndio ameambiwa na wenzake walioandika bongo fleva kuwa mzigo umetoka,any way umefanya la mana kumrudisha darasa anaweza hata akajifunza kuchemsha na kuiandaa midahalo tayari kwa kuila,dah hiki kizazi cha mulugo!!!!
bofya hapa
WEHU