Kajamaa hakataki kukaa Africa kapo bongo Kwa Sababu ya njaa tu lakini nna uhakika kakipata vihelahela kidogo katarudi Spain au kwao South America..
Sijui wanafanya vipi Kazi Na boss WA namna HII.
Mimi nipo Yanga but Matola Hadi namuonea huruma. Anafanya Kazi katika mazingira magumu Sana Yani ingekuwa uswahilini Matola lazima uvumilivu ungemshinda Ange kapiga Mitama.
Kana mchoresha mno