Chevi_masta
Member
- Sep 13, 2021
- 11
- 15
Huyu sidhani kama Form Four B alimaliza!! anyway acha ikae hivyo tu,,Kocha Seleman Matola anaondoka Simba kwa muda ili akasome. Matola amepata fursa ya kwenda kusoma kozi ya leseni A ya CAF, ataanza Novemba 21 ambapo atasoma kwa wiki mbili, kisha atarejea kikosini hapo kwa kuyafanyia kazi kwa vitendo mafunzo aliyoyapata.
Cc: MwanaspotiView attachment 2415244
Wewe endelea kukazana na form b yako wenzako wanatusua maisha.Huyu sidhani kama Form Four B alimaliza!! anyway acha ikae hivyo tu,,
Form b tena..!!Wewe endelea kukazana na form b yako wenzako wanatusua maisha.
Sasa mafunzo ya muda wa wiki mbili tu yanamuondoaje kikosini?Kocha Seleman Matola anaondoka Simba kwa muda ili akasome. Matola amepata fursa ya kwenda kusoma kozi ya leseni A ya CAF, ataanza Novemba 21 ambapo atasoma kwa wiki mbili, kisha atarejea kikosini hapo kwa kuyafanyia kazi kwa vitendo mafunzo aliyoyapata.
Cc: MwanaspotiView attachment 2415244
Wanatafuta tu namna ya Kumuondoa Kijanja ( Kidiplomasia ) kwani Malalamiko dhidi yake kwa Uongozi yamezidi.Kocha Seleman Matola anaondoka Simba kwa muda ili akasome. Matola amepata fursa ya kwenda kusoma kozi ya leseni A ya CAF, ataanza Novemba 21 ambapo atasoma kwa wiki mbili, kisha atarejea kikosini hapo kwa kuyafanyia kazi kwa vitendo mafunzo aliyoyapata.
Cc: MwanaspotiView attachment 2415244
Ndio kina Matola hao[emoji16][emoji16][emoji16]Form b tena..!!
Jambo jema..kila la kheri mwalimu MatolaKocha Seleman Matola anaondoka Simba kwa muda ili akasome. Matola amepata fursa ya kwenda kusoma kozi ya leseni A ya CAF, ataanza Novemba 21 ambapo atasoma kwa wiki mbili, kisha atarejea kikosini hapo kwa kuyafanyia kazi kwa vitendo mafunzo aliyoyapata.
Cc: MwanaspotiView attachment 2415244
Ligi zinaanza kusimama baada ya mechi za leo..lakini sio kwa Tanzania.Sasa mafunzo ya muda wa wiki mbili tu yanamuondoaje kikosini?
Kulikuwa kuna haja gani ya kuja na taarifa ya namna hiyo kwa umma?
Wakati wowote kuanzia wiki ijayo huenda ligi na mashindano ya kimataifa ya vilabu yakasimama ili kupisha mashindano ya kombe la dunia, na muda huo wachezaji, makocha na watu wengine hawatakuwa pamoja kikosini, na ndio muda huo huo Matola atakuwa mafunzoni.
Usemacho Ni Kweli, Unakalia Degree Huna UelekeoWewe endelea kukazana na form b yako wenzako wanatusua maisha.