Matonya aliamsha dude ni kuhusu wimbo wa zilipendwa

Matonya aliamsha dude ni kuhusu wimbo wa zilipendwa

Coke Zero

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
1,024
Reaction score
542
27a9e1c5b80534c46d6f875ea8e9da09.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kah! Huyu naye anatafuta kiki sasa na mimi nikiandika ngoma yangu nyingine beat nyingine na kuipa jina la "vaileti" nitakuwa nimemkopi? Naamini waru hawajui maana ya ku copy au ku sample. Kuna hatimiliki ya jina la wimbo?
 
Sasa amekupiwa nini kwenye huo wimbo? Yeye ni mmiliki wa neno Zilipendwa?
Unajua hawa wasanii walivyosikia kuwa AY na FA wamepiga hela kupitia Tigo basi wanafikiri ni rahisi tuu basi unapewa hela...Sijaona ni wapi WCB wamekopi kutoka kwa Matonya zaidi ya kufanana kwa jina la wimbo maana melody,beat,maneno na kila kitu ni tofauti kabisa...
Sasa ana fananisha na swala la saida wakati kwa saida ni kweli walikopi kila kitu tofauti na yake ambayo ina tofauti...
Matonya mjini hakuna hela ya bure utasaga meno.
 
Matonya yuko sahihi Ku claim, kwa sababu ..diamond amechukua the whole idea ya nyimbo ya matonya, maswala ya zilipendwa ilishaimbwa na matonya and everyone knows , sasa matonya asidai haki yake??.....ivi ingekuwa diamond katoa alafu matonya akaja kuimba tena... Unadhan ingekuwajee?....matonya apewe credit zake bana
 
Hovyo kwelikweli!

Msanii wa zamani kama huyu anakurupuka kijinga hivi?
 
Naomba wajuzi wa mambo ya mziki mnifahamishe ...hv msanii akiiga jina la wimbo wa msanii mwingine
kuna adhabu yoyote ya kisheria ?
 
Matonya yuko sahihi Ku claim, kwa sababu ..diamond amechukua the whole idea ya nyimbo ya matonya, maswala ya zilipendwa ilishaimbwa na matonya and everyone knows , sasa matonya asidai haki yake??.....ivi ingekuwa diamond katoa alafu matonya akaja kuimba tena... Unadhan ingekuwajee?....matonya apewe credit zake bana

"Maswala ya zilipendwa zilishaimbwa na matonya"

Hii sentensi yako ina ukakasi mahali...ina maana mtu akiimba maswala ya upinzani/kilimo/kufumaniwa haruhusiwi msanii mwingine kuja kuimba masuala hayo hayo yalioimbwa na waliopita?

Nikieleweshwa nitashukuru.
 
Sasa amekupiwa nini kwenye huo wimbo? Yeye ni mmiliki wa neno Zilipendwa?
Unajua hawa wasanii walivyosikia kuwa AY na FA wamepiga hela kupitia Tigo basi wanafikiri ni rahisi tuu basi unapewa hela...Sijaona ni wapi WCB wamekopi kutoka kwa Diamond zaidi ya kufanana kwa jina la wimbo maana melody,beat,maneno na kila kitu ni tofauti kabisa...
Sasa ana fananisha na swala la saida wakati kwa saida ni kweli walikopi kila kitu tofauti na yake ambayo ina tofauti...
Matonya mjini hakuna hela ya bure utasaga meno.
Umenikumbusha M4C ya Bwana Pombe.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
 
Back
Top Bottom