Matonya aliamsha dude ni kuhusu wimbo wa zilipendwa

Hahaa ivi visanii vilivo choka vinapenda kutembelea nyota ya diamond wakati ukuta umekua zilipendwa kalime mihogo kibiti ilo neno ZILIPENDWA ni hatimiliki ya maktaba ya kiswahili ka poo ulale uko hahaa diamond hebu wasaidie hao jamani sio kwa kukupania huko
 
vinatamani siku moja viamke vikute huyo kijana ameanguka lkn wapi? sasa vimebaki kutapatapa tu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] akapambane weather take

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekua ivo bac waimbaji wa injili wangekua katika wakati mgumu sana. Kwa sababu hakuna anaeimba asitaje yesu au mbinguni. Sasa ikiwa kila anaetaja yesu amekop ni balaa.
MATONYA PAMBANA NA KHALI YAKO DAWA YA NJAA NI KUVUMILIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kah! Huyu naye anatafuta kiki sasa na mimi nikiandika ngoma yangu nyingine beat nyingine na kuipa jina la "vaileti" nitakuwa nimemkopi? Naamini waru hawajui maana ya ku copy au ku sample. Kuna hatimiliki ya jina la wimbo?
Jina sio tatizo..ila jinsi walivyoimba..kila mistari miwili zilipendwa kama Matonya alivyofanya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…