Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mmoja pale Misigiri nilimfinyia buku kwenye kadi akagoma bana,tukaanza kupatana nikamwambia"sina kitu nakuongeza jero tu",,akaniambia weka chuma pembeni,na mimi nikagoma kupaki pembeni, nikamuuliza"unataka shilingi ngapi?",akaniambia weka buku tano hapo.nikaongeza buku ikawa buku mbili akakubali akaifinya.akaniruhusu nikasepa.Tufanye nini sasa kama waliopewa mamlaka wanafosi, ujue hatutoi kwa hiyari.
Kwanini wanashindwa kilivunja hili Geshi na kusuka jipya wanajua kampeni zitakapoanza watalihitaji katika "kuwanyoosha" Wapinzani.kuna mmoja pale Misigiri nilimfinyia buku kwenye kadi akagoma bana,tukaanza kupatana nikamwambia"sina kitu nakuongeza jero tu",,akaniambia weka chuma pembeni,na mimi nikagoma kupaki pembeni, nikamuuliza"unataka shilingi ngapi?",akaniambia weka buku tano hapo.nikaongeza buku ikawa buku mbili akakubali akaifinya.akaniruhusu nikasepa.
Bila shaka utakuwa sehemu ya wanufaika!! Tunatakiwa kutumia technologia!! Kamera zinatoshaKuna watu mkiwa na magari mnajiona mmemiliki Dunia. Hufuati sheria, mtembea kwa miguu kwako ni takataka tu. Traffic endeleeni nao mpaka waheshimu maisha ya wenzao.
Kote ndugu sijui wqmemdharau mheshimiwa Makamu mwenyekiti!! Ziwepo check points na kamera na Sio haya yanayoendeleaMabarabara ya Mikoani wameanza kurudi kama Nyuki wenye hasira.
Definitely wewe unaishi huko Lala land country sio Tanzaniakwani ukiwa umekamilisha vibali gari yako iko smart una leseni yako bado wnaasumbua maana saa nyingine tunalaumu askari wa usalama barabarani ila sisi hatujikamilishi kny vyombo vyetu
nipo hapahapa tz na sijawah sumbuliwa na hao askari wa usalama barabarani nikiwa na chombo chochote cha moto iwe bike iwe gari na sio dar tu hata mikoani nikienda kusalimia niko huru sana ndio maana nashangaa, au kuna uonevu baina ya mtu na mtu mpka wanachukiwa sana watu wa usalama barabarani au ni mapungufu yetu wenyewe wamiliki wa vyombo vya moto ?Definitely wewe unaishi huko Lala land country sio Tanzania
Definitely wewe ni working class unayetumia SU au ST number plate, kati ya Dar na Morogoro kuna zaidi ya 10 to 15 road blocks na nyingi ni za kimchongo, ila mkuu wewe unapita salama mmmmm labda tunaishi in a different planet, rushwa ya traffic officer's in Tanzania ni terminal cancernipo hapahapa tz na sijawah sumbuliwa na hao askari wa usalama barabarani nikiwa na chombo chochote cha moto iwe bike iwe gari na sio dar tu hata mikoani nikienda kusalimia niko huru sana ndio maana nashangaa, au kuna uonevu baina ya mtu na mtu mpka wanachukiwa sana watu wa usalama barabarani au ni mapungufu yetu wenyewe wamiliki wa vyombo vya moto ?
Hili jesh limeozaNgoja tusikilize Seminar elekezi aliyoandaa mama huko Moshi!! Ni kero kubwa kuruhusu kada nyingine ya ajira kupokea rushwa hadharani
Wapo wanaotoboa na 200,000 hao ni wezi tuu...mshahara wa 520,000 take home unaweza toboa mkuu, mke na watoto 3 ??
Yeah! wanatekeleza majukumu yao kisheria.Miezi michache baada ya rai ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Comredi Adulrahaman Kinana kwa jeshi la polisi kupunguza bugudha kwa magari na hasa maeneo ya mijini, hali imebadilika na taratibu inaanza kujirudia kama ilivyokuwa awali.
Ule unafuu uliokuwa umeanza kupatikana sasa unapotea kwa haraka. Mfano, jijini Dar Es Salaam barabara ya Morogoro utawakuta wanabugudhi madereva pale Urafiki, Kimara Baruti, Kimara Temboni, Kibanda cha Mkaa, kwa Yusufu na maeneo hayo hayana umbali hata wa kilometema 3-5 katikati yake. Na ukiendelea mpaka Maili Moja Kibaha ndipo wamejaa kila umabali wa wastani wa kilometer mbili Luguruni, Kibamba, Kilivya, Maili Moja nk.
Haya ni matumizi mabaya ya pesa za walipakodi kulipa mishahara wafanyakazi wasio na tija au mzigo kwa jamii.
Mdau hebu na wewe ongezea kero unazokutana nazo za hawa watu pamoja na kutakiwa kupunguza bugudha zao.
Mwisho, Je polisi na hasa hawa wa barabarini wako juu ya sheria?
Hawana madharaWapo wanaotoboa na 200,000 hao ni wezi tuu...