V Verily Verily Senior Member Joined Jan 4, 2007 Posts 192 Reaction score 148 Sep 2, 2022 Thread starter #41 Hivi ni kweli suluhu ya uonevu wa matrafiki imekosekana kabisa? Maana na kilio cha kiongozi mkubwa kama Makamu wa CCM hakisikilizwi sasa.
Hivi ni kweli suluhu ya uonevu wa matrafiki imekosekana kabisa? Maana na kilio cha kiongozi mkubwa kama Makamu wa CCM hakisikilizwi sasa.
V Verily Verily Senior Member Joined Jan 4, 2007 Posts 192 Reaction score 148 Sep 5, 2022 Thread starter #42 Matrafiki wameachiliwa tena. Hali ya barabarini leo Jumatatu 5/9/2022 ni mbaya sana. Wamejaa kila barabara.
Matrafiki wameachiliwa tena. Hali ya barabarini leo Jumatatu 5/9/2022 ni mbaya sana. Wamejaa kila barabara.