Matriculation Exam UDSM ilipunguza vilaza

Matriculation Exam UDSM ilipunguza vilaza

Kukaa mtaani mwaka kabla ya Chuo Kikuu ilikuwa Ni elimu tosha kutambua Maisha halisi ya Mtanzania asiye na kazi Mtaani na hivyo Mwanafunzi akienda Chuo anakua anajua What is next, kuliko sasa Mwanafunzi anayajua maisha ya Mtaa baada ya kuhitimu Chuo Kikuuu mwishowe tunawatu weeeengi waliojaaa ulalamishi.
kwahiyo wote wanaokaa mtaani wanakula msoto?
 
Kwa maelezo haya hujasoma UDSM labda unamaanisha Rwegalulira Water Institute unachanganya na UDSM kwa sababu vipo karibu.

Niliporudi kwa degree ya pili nikakuta chuo kimebadilika sana kimejaa wajinga of your type! ..
 
Back
Top Bottom