Wakuu wa Sheria naombeni msaada,
kuna jamaa yangu mmoja wametofautiana na mkewe na mke amerudi kwao kama miezi minane iliyopita,
katika kujadili naye akanieleza walikuwa na argument ya kawaida tu na mkewe alimwambia anataka waachane,kesho yake jamaa yupo kazini mkewe akafungasha kila kitu na kuondoka zake,jioni jamaa anarudi akakuta hamna mtu ila mkewe amechukua nguo,viatu na vitu vinavyo mhusu tu vyote akaondoka navyo.
Alimwarifu jamaa kwamba ameondoka na amerudi kwao,
jama ame persue njia za usuluhishi ikiwemo kuongea na mkewe wasuluhishe ila mwanamke hataki kumsikiliza wala haelekei kuwa tayari.
Matron na Patron wamejaribu kuwasuluhisha ila bibie hataki katu kusikia swala linalo itwa suluhu.
jamaa amezungumza na wazazi wa binti na binti akaitwa aeleze tatizo akaishia kunyamaza na mazungumzo kuvunjika.
jamaa amefika mahali amekata tamaa na analoona mbele yake ni divorce.
Ila kuna vitu vinamchanganya zaidi,
1.kwakuwa yeye hakuwamtayari kuivunja ndoa je mahakama bado itafikiria kuhusu mgawanyo wa mali?
2.jamaa alioa akiwa tayari amejikamilisha kimaisha kwa maana ya mshara mzuri,nyumba na gari za kumtosha huku akiwa ana biashara zake zinazomtosheleza, na mkewe alivikuta vyotenhivi .... Sasa jamaa anajiuliza je hivi navyo vitakuwa kwenye scope of division?
3.mke naye alikuwa na kazi nzuri ila alikuwamhachangiimchochote ndani zaidi ya kumlipa maid tu,vingine vyoote jamaa alifoot na zaid alimextend hata kumsaidia wife wake madeni kwenye maduka ya nguo,je atalazimika kumtunza baada ya divorce?
4.jamaa hajaoa wala ku date mtu mwingine ila kwa sababu ya lonliness na pain anajikutanakihitaji walau mtu wa kumfariji... Je hili bado kisheria linachukuliwa kama adultery? Na ukizingatia mke katimkia kwao na hamtimizii jamaa mahitaji yake ya kindoa?
jamaa anauliza hizi consequences kabla hajaamua na kama final reconciliation itafail.
aliniuliza kwakweli nilishindwamkumpa majibu kutokana na fani kuwamtofauti na sheria.
kuna jamaa yangu mmoja wametofautiana na mkewe na mke amerudi kwao kama miezi minane iliyopita,
katika kujadili naye akanieleza walikuwa na argument ya kawaida tu na mkewe alimwambia anataka waachane,kesho yake jamaa yupo kazini mkewe akafungasha kila kitu na kuondoka zake,jioni jamaa anarudi akakuta hamna mtu ila mkewe amechukua nguo,viatu na vitu vinavyo mhusu tu vyote akaondoka navyo.
Alimwarifu jamaa kwamba ameondoka na amerudi kwao,
jama ame persue njia za usuluhishi ikiwemo kuongea na mkewe wasuluhishe ila mwanamke hataki kumsikiliza wala haelekei kuwa tayari.
Matron na Patron wamejaribu kuwasuluhisha ila bibie hataki katu kusikia swala linalo itwa suluhu.
jamaa amezungumza na wazazi wa binti na binti akaitwa aeleze tatizo akaishia kunyamaza na mazungumzo kuvunjika.
jamaa amefika mahali amekata tamaa na analoona mbele yake ni divorce.
Ila kuna vitu vinamchanganya zaidi,
1.kwakuwa yeye hakuwamtayari kuivunja ndoa je mahakama bado itafikiria kuhusu mgawanyo wa mali?
2.jamaa alioa akiwa tayari amejikamilisha kimaisha kwa maana ya mshara mzuri,nyumba na gari za kumtosha huku akiwa ana biashara zake zinazomtosheleza, na mkewe alivikuta vyotenhivi .... Sasa jamaa anajiuliza je hivi navyo vitakuwa kwenye scope of division?
3.mke naye alikuwa na kazi nzuri ila alikuwamhachangiimchochote ndani zaidi ya kumlipa maid tu,vingine vyoote jamaa alifoot na zaid alimextend hata kumsaidia wife wake madeni kwenye maduka ya nguo,je atalazimika kumtunza baada ya divorce?
4.jamaa hajaoa wala ku date mtu mwingine ila kwa sababu ya lonliness na pain anajikutanakihitaji walau mtu wa kumfariji... Je hili bado kisheria linachukuliwa kama adultery? Na ukizingatia mke katimkia kwao na hamtimizii jamaa mahitaji yake ya kindoa?
jamaa anauliza hizi consequences kabla hajaamua na kama final reconciliation itafail.
aliniuliza kwakweli nilishindwamkumpa majibu kutokana na fani kuwamtofauti na sheria.