Matukio 4 bora dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC

Matukio 4 bora dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Simba Sc imeendelea kunyanyasika mbele ya Wananchi Young Africans Sc baada ya kupoteza mechi nne mfululizo ya Derby Kariakoo kwenye michuano yote.

Simba Sc dhidi ya Yanga Sc kwenye michezo minne iliyopita:

Simba Sc 0-1 Yanga Sc (Ligi Kuu)
Yanga Sc 1-0 Simba Sc (Ngao ya Jamii)
Yanga Sc 2-1 Simba Sc (Ligi Kuu)
Simba Sc 1-5 Yanga Sc (Ligi Kuu)

Haya sasa matukio

1. Nafasi aliyokosa Ateba dakika za mapema. Hile nafasi bila shaka hadi sasa inawezekana Ateba anaijitua sana alikosaje pale wakati kabaki yeye na kipa. Mbaya zaidi alishatamba ataifunga Yanga hata kama inamabeki gani.

Bila shaka kashawajuwa na ameelewa kidogo nini maana ya dabi ya Kariakoo.

2. Offside ya Kibu. Hile bila kupepesa macho ilikuwa ni offside ya wazi. Kwasababu wakati mpira unataka kupigwa Kibu aliwahi kutoka kwenye nafasi aliyekuwepo kabla mpira aujapigwa.

3. Goli la kujifunga. Ni presha walioitengeneza Yanga kwa muda mrefu kwenye lango la Simba hadi kupelekea kujifunga kupitia mchezaji wao Kelvin Kijili na kujihisi kama anabahati mbaya leo. Licha kuna wanaodai mpira ule wakati umepigwa na Camara kutema ulikuwa kama umetoka nje lakini si kweli.

Mpira bado ulikuwa ndani ya uwanja na Max Mpia akafanya kupiga shuti fulani na wachezaji wa Simba wakajichanganya na kujiweka wenyewe.

4. Ubora mkubwa wa Gamond ameonyesha yeye anaubora wa kiasi gani na anajuwa kucheza kila mechi na mbinu yake. Hii inaonyesha amewajenga wachezaji wake kuwa bora wakati wote kwenye kila game.

La mwisho leo binafsi naona kidogo makosa hayakuwa mengi kwa Ramadhani Kayoko ambaye alikuwa mwamuzi wa kati.

Yanga ni baba wa mpira wa Tanzania kwa sasa na siku nyingine kama wakiendelea hivi wanakikosi bora sana ambacho kinaweza kukupa matokeo muda wowote ule.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Simba jitafuteni tena muda upo na ligi bado mbichi.

Yanga SC Bingwa!
 
Ateba pale alitakiwa kumpa pasi kibu ingekua easy easy goal, sema ujinga wa derby zetu mtu kashajitapa kua atafunga lazima alizimishe ujinga tu
Ingekuwa clear offside. Hata hivyo droo bado isingefuta kunyanyasika na hawa vyura. Tulihitaji ushindi, Simba itumie haya matokeo kuendelea kutengeneza timu.
 
Emotional instability ya kocha wa yanga ni mbovu anatakiwa aende kwa psychiatric badala ya kwenda kwa denzel.
 
Simba Sc imeendelea kunyanyasika mbele ya Wananchi Young Africans Sc baada ya kupoteza mechi nne mfululizo ya Derby Kariakoo kwenye michuano yote.

Simba Sc dhidi ya Yanga Sc kwenye michezo minne iliyopita:

Simba Sc 0-1 Yanga Sc (Ligi Kuu)
Yanga Sc 1-0 Simba Sc (Ngao ya Jamii)
Yanga Sc 2-1 Simba Sc (Ligi Kuu)
Simba Sc 1-5 Yanga Sc (Ligi Kuu)

Haya sasa matukio

1. Nafasi aliyokosa Ateba dakika za mapema. Hile nafasi bila shaka hadi sasa inawezekana Ateba anaijitua sana alikosaje pale wakati kabaki yeye na kipa. Mbaya zaidi alishatamba ataifunga Yanga hata kama inamabeki gani.

Bila shaka kashawajuwa na ameelewa kidogo nini maana ya dabi ya Kariakoo.

2. Offside ya Kibu. Hile bila kupepesa macho ilikuwa ni offside ya wazi. Kwasababu wakati mpira unataka kupigwa Kibu aliwahi kutoka kwenye nafasi aliyekuwepo kabla mpira aujapigwa.

3. Goli la kujifunga. Ni presha walioitengeneza Yanga kwa muda mrefu kwenye lango la Simba hadi kupelekea kujifunga kupitia mchezaji wao Kelvin Kijili na kujihisi kama anabahati mbaya leo. Licha kuna wanaodai mpira ule wakati umepigwa na Camara kutema ulikuwa kama umetoka nje lakini si kweli.

Mpira bado ulikuwa ndani ya uwanja na Max Mpia akafanya kupiga shuti fulani na wachezaji wa Simba wakajichanganya na kujiweka wenyewe.

4. Ubora mkubwa wa Gamond ameonyesha yeye anaubora wa kiasi gani na anajuwa kucheza kila mechi na mbinu yake. Hii inaonyesha amewajenga wachezaji wake kuwa bora wakati wote kwenye kila game.

La mwisho leo binafsi naona kidogo makosa hayakuwa mengi kwa Ramadhani Kayoko ambaye alikuwa mwamuzi wa kati.

Yanga ni baba wa mpira wa Tanzania kwa sasa na siku nyingine kama wakiendelea hivi wanakikosi bora sana ambacho kinaweza kukupa matokeo muda wowote ule.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Simba jitafuteni tena muda upo na ligi bado mbichi.

Yanga SC Bingwa!
YAANI MECHI 4 WAMEFUNGWA GOLI 9 WAO WAMEFUNGA 2 TU
 
Ingekuwa clear offside. Hata hivyo droo bado isingefuta kunyanyasika na hawa vyura. Tulihitaji ushindi, Simba itumie haya matokeo kuendelea kutengeneza timu.
Hujui mpira wewe, angetoa pasi offside ingetoka wapi wakati ateba na kibu walibaki na kipa tu?
 
Simba Sc imeendelea kunyanyasika mbele ya Wananchi Young Africans Sc baada ya kupoteza mechi nne mfululizo ya Derby Kariakoo kwenye michuano yote.

Simba Sc dhidi ya Yanga Sc kwenye michezo minne iliyopita:

Simba Sc 0-1 Yanga Sc (Ligi Kuu)
Yanga Sc 1-0 Simba Sc (Ngao ya Jamii)
Yanga Sc 2-1 Simba Sc (Ligi Kuu)
Simba Sc 1-5 Yanga Sc (Ligi Kuu)

Haya sasa matukio

1. Nafasi aliyokosa Ateba dakika za mapema. Hile nafasi bila shaka hadi sasa inawezekana Ateba anaijitua sana alikosaje pale wakati kabaki yeye na kipa. Mbaya zaidi alishatamba ataifunga Yanga hata kama inamabeki gani.

Bila shaka kashawajuwa na ameelewa kidogo nini maana ya dabi ya Kariakoo.

2. Offside ya Kibu. Hile bila kupepesa macho ilikuwa ni offside ya wazi. Kwasababu wakati mpira unataka kupigwa Kibu aliwahi kutoka kwenye nafasi aliyekuwepo kabla mpira aujapigwa.

3. Goli la kujifunga. Ni presha walioitengeneza Yanga kwa muda mrefu kwenye lango la Simba hadi kupelekea kujifunga kupitia mchezaji wao Kelvin Kijili na kujihisi kama anabahati mbaya leo. Licha kuna wanaodai mpira ule wakati umepigwa na Camara kutema ulikuwa kama umetoka nje lakini si kweli.

Mpira bado ulikuwa ndani ya uwanja na Max Mpia akafanya kupiga shuti fulani na wachezaji wa Simba wakajichanganya na kujiweka wenyewe.

4. Ubora mkubwa wa Gamond ameonyesha yeye anaubora wa kiasi gani na anajuwa kucheza kila mechi na mbinu yake. Hii inaonyesha amewajenga wachezaji wake kuwa bora wakati wote kwenye kila game.

La mwisho leo binafsi naona kidogo makosa hayakuwa mengi kwa Ramadhani Kayoko ambaye alikuwa mwamuzi wa kati.

Yanga ni baba wa mpira wa Tanzania kwa sasa na siku nyingine kama wakiendelea hivi wanakikosi bora sana ambacho kinaweza kukupa matokeo muda wowote ule.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Simba jitafuteni tena muda upo na ligi bado mbichi.

Yanga

Simba Sc imeendelea kunyanyasika mbele ya Wananchi Young Africans Sc baada ya kupoteza mechi nne mfululizo ya Derby Kariakoo kwenye michuano yote.

Simba Sc dhidi ya Yanga Sc kwenye michezo minne iliyopita:

Simba Sc 0-1 Yanga Sc (Ligi Kuu)
Yanga Sc 1-0 Simba Sc (Ngao ya Jamii)
Yanga Sc 2-1 Simba Sc (Ligi Kuu)
Simba Sc 1-5 Yanga Sc (Ligi Kuu)

Haya sasa matukio

1. Nafasi aliyokosa Ateba dakika za mapema. Hile nafasi bila shaka hadi sasa inawezekana Ateba anaijitua sana alikosaje pale wakati kabaki yeye na kipa. Mbaya zaidi alishatamba ataifunga Yanga hata kama inamabeki gani.

Bila shaka kashawajuwa na ameelewa kidogo nini maana ya dabi ya Kariakoo.

2. Offside ya Kibu. Hile bila kupepesa macho ilikuwa ni offside ya wazi. Kwasababu wakati mpira unataka kupigwa Kibu aliwahi kutoka kwenye nafasi aliyekuwepo kabla mpira aujapigwa.

3. Goli la kujifunga. Ni presha walioitengeneza Yanga kwa muda mrefu kwenye lango la Simba hadi kupelekea kujifunga kupitia mchezaji wao Kelvin Kijili na kujihisi kama anabahati mbaya leo. Licha kuna wanaodai mpira ule wakati umepigwa na Camara kutema ulikuwa kama umetoka nje lakini si kweli.

Mpira bado ulikuwa ndani ya uwanja na Max Mpia akafanya kupiga shuti fulani na wachezaji wa Simba wakajichanganya na kujiweka wenyewe.

4. Ubora mkubwa wa Gamond ameonyesha yeye anaubora wa kiasi gani na anajuwa kucheza kila mechi na mbinu yake. Hii inaonyesha amewajenga wachezaji wake kuwa bora wakati wote kwenye kila game.

La mwisho leo binafsi naona kidogo makosa hayakuwa mengi kwa Ramadhani Kayoko ambaye alikuwa mwamuzi wa kati.

Yanga ni baba wa mpira wa Tanzania kwa sasa na siku nyingine kama wakiendelea hivi wanakikosi bora sana ambacho kinaweza kukupa matokeo muda wowote ule.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Simba jitafuteni tena muda upo na ligi bado mbichi.

Yanga SC Bingwa!
haujui kuchambua
 
Pale hakuna faulo iliyofanywa,ni mwendelezo wa uhuni tu
 
Back
Top Bottom