Matukio 4 bora dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC

Matukio 4 bora dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC

Master Gamondi kila mechi anaikabili kwa mbinu zake , anaweza kuwa na mifumo Hata 50.
 
Simba waendelee kusuka kikosi chao . Kwa wachezaji walionao ni ngumu kuwafunga Yanga kwa sasa.
Mapungufu ya simba ni namba 10 , namba 2 (mbadala wa kapombe) , 11 mwenye akili kuliko huyo mutale ,na kiungo mkabaji asilia wa kusaidiana na kagoma.

Uzuri wa Yanga kila namba ina watu wawili au zaidi wenye uwezo unaolingana au kukaribiana angalau kwa 80% na zaidi.

Simba ukiachana na ile first eleven yao , waliobaki hakuna anayeweza kuingia akabadilisha mchezo .

Ushauri :
Simba iachanane na wafuatao;
[emoji117]Valentino Nouma ilete beki wa kulia wa nje mwenye uwezo mkubwa zaidi ya kapombe.
[emoji117]Kipa mmojawapo wa kigeni ilete namba 10 wa kigeni mwenye uzoefu mkubwa wa kusaidiana na Ahoua.
[emoji117] Fabrice Ngoma kama hayupo kwenye mipango ya kocha nafasi yake aletwe kiungo mkabaji asilia wa kusaidiana na Kagoma.
 
Simba Sc imeendelea kunyanyasika mbele ya Wananchi Young Africans Sc baada ya kupoteza mechi nne mfululizo ya Derby Kariakoo kwenye michuano yote.

Simba Sc dhidi ya Yanga Sc kwenye michezo minne iliyopita:

Simba Sc 0-1 Yanga Sc (Ligi Kuu)
Yanga Sc 1-0 Simba Sc (Ngao ya Jamii)
Yanga Sc 2-1 Simba Sc (Ligi Kuu)
Simba Sc 1-5 Yanga Sc (Ligi Kuu)

Haya sasa matukio

1. Nafasi aliyokosa Ateba dakika za mapema. Hile nafasi bila shaka hadi sasa inawezekana Ateba anaijitua sana alikosaje pale wakati kabaki yeye na kipa. Mbaya zaidi alishatamba ataifunga Yanga hata kama inamabeki gani.

Bila shaka kashawajuwa na ameelewa kidogo nini maana ya dabi ya Kariakoo.

2. Offside ya Kibu. Hile bila kupepesa macho ilikuwa ni offside ya wazi. Kwasababu wakati mpira unataka kupigwa Kibu aliwahi kutoka kwenye nafasi aliyekuwepo kabla mpira aujapigwa.

3. Goli la kujifunga. Ni presha walioitengeneza Yanga kwa muda mrefu kwenye lango la Simba hadi kupelekea kujifunga kupitia mchezaji wao Kelvin Kijili na kujihisi kama anabahati mbaya leo. Licha kuna wanaodai mpira ule wakati umepigwa na Camara kutema ulikuwa kama umetoka nje lakini si kweli.

Mpira bado ulikuwa ndani ya uwanja na Max Mpia akafanya kupiga shuti fulani na wachezaji wa Simba wakajichanganya na kujiweka wenyewe.

4. Ubora mkubwa wa Gamond ameonyesha yeye anaubora wa kiasi gani na anajuwa kucheza kila mechi na mbinu yake. Hii inaonyesha amewajenga wachezaji wake kuwa bora wakati wote kwenye kila game.

La mwisho leo binafsi naona kidogo makosa hayakuwa mengi kwa Ramadhani Kayoko ambaye alikuwa mwamuzi wa kati.

Yanga ni baba wa mpira wa Tanzania kwa sasa na siku nyingine kama wakiendelea hivi wanakikosi bora sana ambacho kinaweza kukupa matokeo muda wowote ule.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Simba jitafuteni tena muda upo na ligi bado mbichi.

Yanga SC Bingwa!
Yeah....Kayoko alikuwa fresh tu.
 
Kumbuka indirect free kick huwa inatakiwa mpira uguswe na mtu wa pili sio direct golini, hats hivyo mpira ulishatoka nje huo. Ateba kukosa kufunga inaweza kuwa ni matokeo ya nguvu za giza
 
Simba Sc imeendelea kunyanyasika mbele ya Wananchi Young Africans Sc baada ya kupoteza mechi nne mfululizo ya Derby Kariakoo kwenye michuano yote.

Simba Sc dhidi ya Yanga Sc kwenye michezo minne iliyopita:

Simba Sc 0-1 Yanga Sc (Ligi Kuu)
Yanga Sc 1-0 Simba Sc (Ngao ya Jamii)
Yanga Sc 2-1 Simba Sc (Ligi Kuu)
Simba Sc 1-5 Yanga Sc (Ligi Kuu)

Haya sasa matukio

1. Nafasi aliyokosa Ateba dakika za mapema. Hile nafasi bila shaka hadi sasa inawezekana Ateba anaijitua sana alikosaje pale wakati kabaki yeye na kipa. Mbaya zaidi alishatamba ataifunga Yanga hata kama inamabeki gani.

Bila shaka kashawajuwa na ameelewa kidogo nini maana ya dabi ya Kariakoo.

2. Offside ya Kibu. Hile bila kupepesa macho ilikuwa ni offside ya wazi. Kwasababu wakati mpira unataka kupigwa Kibu aliwahi kutoka kwenye nafasi aliyekuwepo kabla mpira aujapigwa.

3. Goli la kujifunga. Ni presha walioitengeneza Yanga kwa muda mrefu kwenye lango la Simba hadi kupelekea kujifunga kupitia mchezaji wao Kelvin Kijili na kujihisi kama anabahati mbaya leo. Licha kuna wanaodai mpira ule wakati umepigwa na Camara kutema ulikuwa kama umetoka nje lakini si kweli.

Mpira bado ulikuwa ndani ya uwanja na Max Mpia akafanya kupiga shuti fulani na wachezaji wa Simba wakajichanganya na kujiweka wenyewe.

4. Ubora mkubwa wa Gamond ameonyesha yeye anaubora wa kiasi gani na anajuwa kucheza kila mechi na mbinu yake. Hii inaonyesha amewajenga wachezaji wake kuwa bora wakati wote kwenye kila game.

La mwisho leo binafsi naona kidogo makosa hayakuwa mengi kwa Ramadhani Kayoko ambaye alikuwa mwamuzi wa kati.

Yanga ni baba wa mpira wa Tanzania kwa sasa na siku nyingine kama wakiendelea hivi wanakikosi bora sana ambacho kinaweza kukupa matokeo muda wowote ule.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Simba jitafuteni tena muda upo na ligi bado mbichi.

Yanga SC Bingwa!
Ile faulo ilipaswa kuwa indirect kick kosa la refa.
Penalties dhahiri zimekataliwa.
Hii ni miongoni mwa derby zinazotia kinyaa kikubwa.
Ndio maana huko CAF rank ya Simba iko juu, kule ni mpira kweli mpira. Humu ndani janja janja
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Back
Top Bottom