Matukio gani yaliyogusa hisia za watu 2024 ambayo hutayasahau?

Matukio gani yaliyogusa hisia za watu 2024 ambayo hutayasahau?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Leo ni 31, Desemba ni siku ya mwisho ya Mwaka 2024, Kwa kudra za Mungu baada ya masaa kadhaa tutakuwa tumeingia mwaka 2025, Naomba Mungu atie rehema zake tufike wote salama.

Mwaka 2024 ulikuwa na matukio mengi sana sana, yapo yaliyoibua na kuvuta hisia na usikivu wa watu huku yakiacha maswali yenye fumbo lisilo na majibu na mengine kupata majibu.

Matukio mengine yalikuwa ya huzuni sana, mengine furaha, hofu, wasiwasi mtafaruku na kutokujua nini kotafuata au nani na nini kitatatua.

Je, ni matukio yapi hutayasahau na Hutamani tena yawepo mwaka 2025, au unatamani yajirudie mwaka 2025?

Kwa heri 2024, Karibu 2025
 
Leo ni 31, Desemba ni siku ya mwisho ya Mwaka 2024, Kwa kudra za Mungu baada ya masaa kadhaa tutakuwa tumeingia mwaka 2025, Naomba Mungu atie rehema zake tufike wote salama.

Mwaka 2024 ulikuwa na matukio mengi sana sana, yapo yaliyoibua na kuvuta hisia na usikivu wa watu huku yakiacha maswali yenye fumbo lisilo na majibu na mengine kupata majibu.

Matukio mengine yalikuwa ya huzuni sana, mengine furaha, hofu, wasiwasi mtafaruku na kutokujua nini kotafuata au nani na nini kitatatua.

Je, ni matukio yapi hutayasahau na Hutamani tena yawepo mwaka 2025, au unatamani yajirudie mwaka 2025?

Kwa heri 2024, Karibu 2025
Huu mwaka hakukuwa special sana. Niliguswa na msiba wa Sumbalawinyo, Gill Biz
 
Chadema kupasuka vipande viwili, Mauaji ya mzee Ally Kibao na kupotea kwa watu .
Mwendelezo wa mgogoro kati ya serikali na wamasai wa Ngorongoro
Taifa Stars kufuzu afcon
SGR kuanza kufanya kazi
 
Leo ni 31, Desemba ni siku ya mwisho ya Mwaka 2024, Kwa kudra za Mungu baada ya masaa kadhaa tutakuwa tumeingia mwaka 2025, Naomba Mungu atie rehema zake tufike wote salama.

Mwaka 2024 ulikuwa na matukio mengi sana sana, yapo yaliyoibua na kuvuta hisia na usikivu wa watu huku yakiacha maswali yenye fumbo lisilo na majibu na mengine kupata majibu.

Matukio mengine yalikuwa ya huzuni sana, mengine furaha, hofu, wasiwasi mtafaruku na kutokujua nini kotafuata au nani na nini kitatatua.

Je, ni matukio yapi hutayasahau na Hutamani tena yawepo mwaka 2025, au unatamani yajirudie mwaka 2025?

Kwa heri 2024, Karibu 2025
Wote waliotekwa kwa sababu za kisiasa
Wote walioteswa kwa sababu za kisiasa
Wote walipotezwa kwa sababu za kisiasa
Wote waliowekwa kizuizini kwa sababu za kisiasa
Wote walifanyiwa dhuluma na uonevu wowote kwasabu za kisiasa
Wote waliouliwa kwa sababu za kisiasa
 
Kufariki/ kifo cha baba yangu mzazi.
Nakumbuka usiku wa tarehe kama ya leo yaani 31.12. 2023 kuamkia mwaka 2024 alipata heart attack tukamkimbiza hospital baada ya week moja akafariki.
 
Ulikua ni mwaka wa msoto, usioeleweka eleweka hivi.

Naomba Mungu 2025 ije vizuri, naiona kesho nzuri iliyopangwa na Mungu. Amen.
 
Back
Top Bottom