NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Tukio limetokea ikulu baada ya Yanga kualikwa na Mh Raisi Samia suluhu Hassan.
Kama ilivyo kwa mtukutu Bernard Morrison lazima aache alama (kituko) kamvisha medali Ahmed Ally (msemaji wa Simba SC) waliyotunukiwa huko Algeria.
Jamaa kaikubali Yanga kiroho Safi.
Kama ilivyo kwa mtukutu Bernard Morrison lazima aache alama (kituko) kamvisha medali Ahmed Ally (msemaji wa Simba SC) waliyotunukiwa huko Algeria.
Jamaa kaikubali Yanga kiroho Safi.