Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Mgeni mwalika (Katibu Mkuu Mstaafu)bashiru kaingia kama nani
Ana haki ya kuwa huko. Ameelewa na kuielewa vizuri itikadi na falsafa ya Chama Cha Mapinduzi ambayo inaeleza wazi mwelekeo usiokuwa na shaka kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu.Huwa na staajabu sana kumuona kijana yupo CCM
kijana yeyote aliye CCM hapendi demokrasia mla rushwa njaa mfukoni hadi tumboniAna haki ya kuwa huko. Ameelewa na kuielewa vizuri itikadi na falsafa ya Chama Cha Mapinduzi ambayo inaeleza wazi mwelekeo usiokuwa na shaka kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu.
Hapana, huo ni mtazamo hasi ulionao. Vijana ni waadilifu na wenye shauku ya kuona nchi yao ya Tanzania inapata maendeleo.kijana yeyote aliye CCM hapendi demokrasia mla rushwa njaa mfukoni hadi tumboni
Zimewafikia π π π π π πsalamu ziwafikie madalali wote wa AstraZeneca.