Lakini hawa wazungu mi nachojua huko kwenye hizo sayari, mwezi nyota n.k itakuwa wana migodi ya madini fulani adimu, na nahisi wanafanya top scret, cause ukitafakari mabilioni ya pesa wanayotumia kuchunguza elimu ya anga sidhani inaishia tu kwamba ni interests..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.