Matukio na vituko ulivyokutana navyo kwa waganga wa kienyeji

Dunia ina mambo mengi sana
 
Wapi huko umelipa 2,000
 
Pm mkuu
 
Nipe namba yake na mimi niakaoshe nyota

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Mie Kuna ndugu yangu anaumwa balaa mkuu
Nitumie namba yake PM
 
Namhitaji huyu, cheki pm Yako
 
Jaman nisaidie namba yake jaman maan nateseka Ile mbaya au nielekeze nifike kabsa kwake alipo
 
Basi bana nashukuru nilipona lkn kuhusu kuku na nazi baada ya matumizi wanatumia kama chakula hapo kwake , pale kila siku mboga ni kuku alafu wali sasa hawapikii mafuta ni nazi tupu zile walizovunja.
 
Kwa kuwa ulimuacha Mungu ,haya lazima yakukute TU,Simama na Mungu wako TU
 
Tatizo gan na miezi 3 ni Mungu na ulimlipa shngap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…