Matukio ya ajabu kwa madereva wa malori

Matukio ya ajabu kwa madereva wa malori

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Takribani miaka 40 iliyopita...alipata kutokea tajiri mmoja aliyekuwa anamiliki malori.

Kama kawaida madereva tupo wa kila namna chini ya jua....sasa kuna mzee mmoja alikuwa anaogopewa na kila dereva na si madereva tu mpaka mafundi,yaani kama gari yake ina shida mafundi wanastop kutengeneza magari mengine na kuanza kushughulikia la kwake.

Ikawa asubuhi ikawa usiku....siku ya siku tajiri kashusha malori mapya.

Mzee ndio anakuwa wa kwanza kuambiwa achague lori analolitaka....halafu wengine tunarushiwa funguo.

Iwapo mzee hajafika kazini hakuna dereva anayethubutu kushika gari yake na wakati huo kuna order za kwenda kupakia na kuna madereva wapo benchi.

Na tajiri akiulizwa anasema ni sawa hakuna mtu wa kugusa gari ya mzee.

Hapo VP.
 
Takribani miaka 40 iliyopita...alipata kutokea tajiri mmoja aliyekuwa anamiliki malori.
Kama kawaida madereva tupo wa kila namna chini ya jua....sasa kuna mzee mmoja alikuwa anaogopewa na kila dereva na si madereva tu mpaka mafundi,yaani kama gari yake ina shida mafundi wanastop kutengeneza magari mengine na kuanza kushughulikia la kwake.
Ngoja niweke kambi, mambo ninayopendaga haya.
 
Sasa hapo Kuna ajabu gani mkuu mbona hiyo ni kawaida sana kwenye kazi...yani ni sawa na daktari hajaruhusu mgonjwa kwenda nyumbani alafu manesi wamruhusu bila taarifa kutoka kwa daktari
Ajabu ni kwamba kuna siku boss aliamua gari apewe dereva mwingine manake tulilemewa na order......
Gari iligoma kuwaka.
Wakaletwa mafundi wa kila aina....waaapi.
Gari lilikuwa ni jipya,,kwa hiyo lilikuwa bado chini ya usimamizi wa muuzaji.,,wakaleta wataalamu kutoka kwa muuzaji....waapi...gari limegoma kuwaka......
Lakini siku mzee(babu)aliporudi kazini ........ONE KICK....machine ikaitika....
ITAENDELEA>>>>>>>
 
Takribani miaka 40 iliyopita...alipata kutokea tajiri mmoja aliyekuwa anamiliki malori.

Kama kawaida madereva tupo wa kila namna chini ya jua....sasa kuna mzee mmoja alikuwa anaogopewa na kila dereva na si madereva tu mpaka mafundi,yaani kama gari yake ina shida mafundi wanastop kutengeneza magari mengine na kuanza kushughulikia la kwake.

Ikawa asubuhi ikawa usiku....siku ya siku tajiri kashusha malori mapya.

Mzee ndio anakuwa wa kwanza kuambiwa achague lori analolitaka....halafu wengine tunarushiwa funguo.

Iwapo mzee hajafika kazini hakuna dereva anayethubutu kushika gari yake na wakati huo kuna order za kwenda kupakia na kuna madereva wapo benchi.

Na tajiri akiulizwa anasema ni sawa hakuna mtu wa kugusa gari ya mzee.

Hapo VP.
Hapo powa
 
Takribani miaka 40 iliyopita...alipata kutokea tajiri mmoja aliyekuwa anamiliki malori.

Kama kawaida madereva tupo wa kila namna chini ya jua....sasa kuna mzee mmoja alikuwa anaogopewa na kila dereva na si madereva tu mpaka mafundi,yaani kama gari yake ina shida mafundi wanastop kutengeneza magari mengine na kuanza kushughulikia la kwake.

Ikawa asubuhi ikawa usiku....siku ya siku tajiri kashusha malori mapya.

Mzee ndio anakuwa wa kwanza kuambiwa achague lori analolitaka....halafu wengine tunarushiwa funguo.

Iwapo mzee hajafika kazini hakuna dereva anayethubutu kushika gari yake na wakati huo kuna order za kwenda kupakia na kuna madereva wapo benchi.

Na tajiri akiulizwa anasema ni sawa hakuna mtu wa kugusa gari ya mzee.

Hapo VP.
Upumbavu tuu,kwani Mali yake!
 
Ajabu ni kwamba kuna siku boss aliamua gari apewe dereva mwingine manake tulilemewa na order......
Gari iligoma kuwaka.
Wakaletwa mafundi wa kila aina....waaapi.
Gari lilikuwa ni jipya,,kwa hiyo lilikuwa bado chini ya usimamizi wa muuzaji.,,wakaleta wataalamu kutoka kwa muuzaji....waapi...gari limegoma kuwaka......
Lakini siku mzee(babu)aliporudi kazini ........ONE KICK....machine ikaitika....
ITAENDELEA>>>>>>>
Point hap ni kwamba gari liliwaka bada ya babu kufika . Haya mambo hata nimekutana mayo ila hayajivutii wala nn
 
Kuna watu Kweli wanaogopeka kwenye kazi ikiwemo madereva!Kuna kampuni flani zamani, Jamaa akichukua likizo gari lake hagusi mtu hadi jamaa arudi! Sasa ikatokea hiyo kampuni ikabinafsishwa! Mbona jamaa kazi iliota mabawa,ni Imani mbovu na Uoga na mikwara tuu.
 
Nimeelewa ndio maana nimejibu!Hizo ni Imani za kipumbavu.
Ndio maana zipo....lakini ipo siku isiyo na jina,,,,,
Duniani kila kitu kipo na kinyume che..
Positive energy as well as negative,,,,,
In tenebris ego sum potens
Elewa kwamba...All things are interconnected and a part of larger web of life.
 
Kuna watu Kweli wanaogopeka kwenye kazi ikiwemo madereva!Kuna kampuni flani zamani, Jamaa akichukua likizo gari lake hagusi mtu hadi jamaa arudi! Sasa ikatokea hiyo kampuni ikabinafsishwa! Mbona jamaa kazi iliota mabawa,ni Imani mbovu na Uoga na mikwara tuu.
KUmbe umenielewa
 
Back
Top Bottom