Matukio ya Dada wa kazi kuwafanyia ukatili watoto wa maboss ikiwamo kuwaua nani alaumiwe?

Safi
 
Umenena Mkuu
Umenena Mkuu
 
Mwanamke anatakiwa Akae nyumbani, alee watoto wake mwenyewe.Kama anataka kujishughrisha afungue kibiashara Cha duka au auze ubuyu kibarazani huku macho yote Kwa watoto..full stop

Umeumbwa kuzaa Kwa uchungu ,kutaffuta Kwa jasho waachie wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…