kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Wapokonywe point tatu.Ni mara ya pili leo baadhi ya wahuni kutoka mashabiki wa utopolo wamewafanyia fujo wenzao wa Simba waliokwenda kuangalia mechi.
Ninalaani vikali vitendo hivyo na ninaomba mamlaka ziingilie kati na kuchukua hatua mapema,vinginevyo kuna vita ya kwanza ya mpira inaweza kutokea Tanzania.Maana hii tabia inataka kuzoeleka na inaonekana inachekewa chekewa na wahusika.Ila kumbukeni,Simba wakianza kulipa kisasi,sina uhakika hali itakuwaje
Vibweka na vitimbi vya team vijora[emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]Ni mara ya pili leo baadhi ya wahuni kutoka mashabiki wa utopolo wamewafanyia fujo wenzao wa Simba waliokwenda kuangalia mechi.
Ninalaani vikali vitendo hivyo na ninaomba mamlaka ziingilie kati na kuchukua hatua mapema,vinginevyo kuna vita ya kwanza ya mpira inaweza kutokea Tanzania.Maana hii tabia inataka kuzoeleka na inaonekana inachekewa chekewa na wahusika.Ila kumbukeni,Simba wakianza kulipa kisasi,sina uhakika hali itakuwaje
Jana mashabiki wa Simba wame pigwa Morogoro katika mechi ya yanga na mtibwa akiwemo yule big wa SimbaKwani imekuwaje? Kuna fujo nyingine zaidi ya Ile ya kwamkapa?
Hakika wewe sio muungwana kumbuka kila mtu Ana ingia kwa pesa yake uwanjan alfu kingine mpira sio vita mala nyingi sana mashabiki wa yanga wanakata kwa simba na hakuna wa nacho fanywa so mpira sio vita ya ngumi kiongozMashabiki wa Mikia wana kiherehere sana,nini kinawafanya waende kwenye jukwaa la Yanga,wapigwe tu
Acha upumbavu wako yanga wana jukwaa lao? Kinachokufanya ukae jukwaa fulan ni kiingilio ulicholipa na wala sio timu unayoishabikia. Mara ngapi mashabiki wa yanga wanakaa jukwaa moja na mashabiki wa simba na huoni mashabiki wa simba wakiwafanyia vurugu.Mashabiki wa Mikia wana kiherehere sana,nini kinawafanya waende kwenye jukwaa la Yanga,wapigwe tu
Michuano ya klabu bingwa afrika inakuja tutawaona na kiherehere chenu cha kushangilia timu za wageni tutakavyowashugulikiaMashabiki wa Mikia wana kiherehere sana,nini kinawafanya waende kwenye jukwaa la Yanga,wapigwe tu
Nimewwaza kama wewe, klabu Bingwa kuna hatari ya kukutana na Maiti ya wanaUtopolo pale kwa Mkappa. Nashauri TFF wachukue hatua kali ikiwemo kuwafungia mashabiki kadhaa ya Utopolo kwenda Uwanjan kwa muda fulani afadhali itawapa imani Simba SC vinginevyo kuna Visasi vibaya sana sana vitafuata soon. Msije mkaona Wanasimba wametulia mkajua wamesahauMichuano ya klabu bingwa afrika inakuja tutawaona na kiherehere chenu cha kushangilia timu za wageni tutakavyowashugulikia