Matukio ya fujo za washabiki wa Yanga ni ya aibu kwenye soka Yakemewe kwa nguvu

dua la kuku tuu plus kelele za chura hizi, nyie nguvu yenu ipo mdomoni na kwenye kuhonga marefa au kununua mechi kwisha, huko kwenye 'mkono' yaani mta pukutika adi vizazi vyenu vipotee
 
dua la kuku tuu plus kelele za chura hizi, nyie nguvu yenu ipo mdomoni na kwenye kuhonga marefa au kununua mechi kwisha, huko kwenye 'mkono' yaani mta pukutika adi vizazi vyenu vipotee
Ngoja muone mapigo ya simba akiamua kurudisha tumekuwa wastaarabu muda mrefu hayo madawa yenu mnayovuta jangwani yatawatokea njiani
 
Mashabiki wa Tako Wazi SC wakiendelea kumwendekeza mbwabwajaji wao yule mzungu pori kwa kandia zake za kishari, msilaumu ya Yanga kwa yatakayowakuta! mtateseka sana.
 
Mkiendelea na maneno yenu machafu katika mechi zetu lazima tuwashushie mkong'ong'oto wa kutosha,

Haiwezakani katika mechi yetu na mtibwa eti mashabiki wenu wanakuja alafu wanasema "Tumekuja kuwakera",

Tunawasubiri kwa hamu mashabiki wengine wa mkia waje "kutukera". Katika mechi zetu zijazo ili tuwashushie kipigo 'heavy'

Daima mbele nyuma mwiko.
 
Unavyoongea nadhani ni tatizo la kulelewa na mdangaji wa mjini
dua la kuku tuu plus kelele za chura hizi, nyie nguvu yenu ipo mdomoni na kwenye kuhonga marefa au kununua mechi kwisha, huko kwenye 'mkono' yaani mta pukutika adi vizazi vyenu vipotee
 
Hakika wewe sio muungwana kumbuka kila mtu Ana ingia kwa pesa yake uwanjan alfu kingine mpira sio vita mala nyingi sana mashabiki wa yanga wanakata kwa simba na hakuna wa nacho fanywa so mpira sio vita ya ngumi kiongoz
Tatizo mikia mna viherehere. Mnajijua mna midomo mirefu,kunyamaza hamuwezi. Mnaingia uwanjani mnakaa katikati ya wananchi. Halafu mnawashwa midomo na kuropokwa naneno kama Haji Manara, mlitegemea nini!!!?
Binafsi naona wapigwe tuu
 
Tatizo mikia mna viherehere. Mnajijua mna midomo mirefu,kunyamaza hamuwezi. Mnaingia uwanjani mnakaa katikati ya wananchi. Halafu mnawashwa midomo na kuropokwa naneno kama Haji Manara, mlitegemea nini!!!?
Binafsi naona wapigwe tuu
Ni asiye kuwa na akili kama wewe ndiye atasapoti huu Uzwazwa wako.Kwamba mtakuwa mkiwapiga mashabiki wa Simba,unafikiri wataendelea kukaa kimya?.Siku watakaposema uvumilivu sasa basi,Jua nchi itaingia kwenye machafuko.Hatua ya kwanza itakuwa kukataza washabiki wote,si wa Yanga wala Ihefu watakaoruhusiwa kuingia uwanjani.Itaenda hivyo hadi kwenye vilabu vidogo.Hatua ya pili wenye Viwanja vyao ambavyo vingi ni Vya CCM watavifunga na hamtakuwa na uwezo wa kuwashtaki CCM kwa FIFA,maana viwanja ni vyao,.Hatua ya mwisho kabisa ni kuvifuta vilabu vya Simba na Yanga,kwenye baraza la Michezo la Taifa,ambao ndiyo serikali yenyewe.Na hata muende FIFA haitasaidia kitu.

Usije ukafikiri Vita hiyo ya Simba na Yanga ikianza itaishia Dar peke yake,itasambaa nchi nzima.Kwa maana hiyo serikali haiwezi kuwa wajinga kuona watu wanauana na hasa vijana,eti kisa Ushabiki wa Vilabu vya mpira.Itavifutilia mbali
 
Hao wanavyoongea utafikiri wana nguvu siku wakipata mkong'oto ndio atajua kuhusu maneno yake yanamaanisha nini
 
Nguvu ya simba ipo midomoni. Na kama huamini jichanganyeni katikati ya wananchi kisha mlete maneno yenu ya kwenye kanga,mtajua nani mwenye akili
 
Hamna ubavu wa kufanya lolote,Mikia nyie
 
TFF, BMT na wapenda soka wachukue hatua stahiki dhidi ya mashabiki Yanga kabla moto haujawaka.
Vitendo vya utovu wa nidhamu vinavyofanywa na Yanga vinaweza kulivuruga taifa pindi Simba itakapoamua kujibu mapigo.
 
Yule Big mpumbavu sana alistahili alichokipata na kikundi chake,nadhani watakuwa walitumwa na lopolopo wao,

Haiwezekani uende umevaa jezi za timu yako ambayo haichezi siku husika,badala ya kufika kuangalia mpira wewe na wenzio mnaanza kuimba nyimbo na kuleta hamasa utafikiri timu yako ndio ipo uwanjani.

Ukiwaangalia wana mamifuko na chupa za maji sasa jiulize wameingia nazo vip uwanjani kinyume cha sheria na taratibu za viwanja vya mpira.

Yani Big na ubig wake alitulizwa na mdada mmoja mdogo sana kiumbo Jesca maana timbwili lake aliloletewa big kaondoka anachechemea.

Hatukatai ushabiki na utani wa simba na yanga ila lazima kuwe na mipaka na tuangalie mazingira la sivyo utahatarisha uhai wako kisa ushabiki.
 
Here we go again, UTOPOLO hooligans wamerudia tena. Wanasimba tuwakaribishe UTOPOLO kwenye mechi zetu kama wageni wetu rasmi waje waone burudani na kabumbu safi linavyochezwa na kama kawaida yetu bila kuwafanyia bughudha ya aina yoyote kwani ni haki yao kuja viwanjani wakiwa wamevali jersey zao.
Tunaamini mpira ni burudani na Simba na Yanga ni watani wa jadi tu na si vinginevyo. Kama kuna mtu hapendi utani wa jadi basi akashabikie timu nyingine au asiende uwanjani au mitaani kuleta vurugu. Tumerithishwa utani wa jadi na sio uadui au vurugu nasi tuwarithishe watoto wetu.
Live long our rivalry.
 
Mashabiki wa Mikia wana kiherehere sana,nini kinawafanya waende kwenye jukwaa la Yanga,wapigwe tu
Wanajitapa kwenda kuiroga Yanga ifúngwe
Léo wang’oa víti wamekuwa wastaarafu
Machizi hawa
 
Mashabiki wa Mikia wana kiherehere sana,nini kinawafanya waende kwenye jukwaa la Yanga,wapigwe tu
Are you serious? Mbona mashabiki wa Utopolo wanahudhuria kwenye game za simba lakini wanakaa kwa Amani wanafurahi wote, huku kwenye vibanda umiza tunakaa wote haijarishi inacheza simba au Yanga.
Tuache kutengeneza vita kwenye utani.
Mbona mashabiki wa Utopolo siku hizi mnakua ka machizi, simba na Yanga ni utani sio uhasama. Ndo maana unaweza ukaoa mwanamke wa timu yoyote na ukaenda kwenye mpira huyu kavaa jezi ya simba na huyu ya Yanga na mkakaa pamoja na maisha yanaendelea,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…