Matukio ya fujo za washabiki wa Yanga ni ya aibu kwenye soka Yakemewe kwa nguvu

Matukio ya fujo za washabiki wa Yanga ni ya aibu kwenye soka Yakemewe kwa nguvu

Muda uliotumia kuandika hii pumba ako katecno kako akajashika moto kweli,angalia hizo video uone washabiki wa mikia walichowafanyia washabiki wa Yanga,sema kwa uzembe wa idara ya habari ya Yanga uwa hawayaripoti
Akili zako zimekaa mat@koni we nyang'au. Unahisi tecno sio simu au? Ndo nyie mnashinda njaa mwaka mzima ili ununue iphone refurbished uwatambie washamba wenzio. Grow up kijana those poor mentalities u have won't help you unless you change.
 
Yule Big mpumbavu sana alistahili alichokipata na kikundi chake,nadhani watakuwa walitumwa na lopolopo wao,

Haiwezekani uende umevaa jezi za timu yako ambayo haichezi siku husika,badala ya kufika kuangalia mpira wewe na wenzio mnaanza kuimba nyimbo na kuleta hamasa utafikiri timu yako ndio ipo uwanjani.

Ukiwaangalia wana mamifuko na chupa za maji sasa jiulize wameingia nazo vip uwanjani kinyume cha sheria na taratibu za viwanja vya mpira.

Yani Big na ubig wake alitulizwa na mdada mmoja mdogo sana kiumbo Jesca maana timbwili lake aliloletewa big kaondoka anachechemea.

Hatukatai ushabiki na utani wa simba na yanga ila lazima kuwe na mipaka na tuangalie mazingira la sivyo utahatarisha uhai wako kisa ushabiki.
Ivi unafatilia match za bongo kwel ,,game za simba hao shabiki wa yanga mbona tunakaa nao jukwaa moja na wanavaa vijoro vyao na tunawahesh fresh,,Vurugu haiwez kukusaidia kubeba ubingwa chamsing cheza soko safii na matunda utayaona
 
Akili zako zimekaa mat@koni we nyang'au. Unahisi tecno sio simu au? Ndo nyie mnashinda njaa mwaka mzima ili ununue iphone refurbished uwatambie washamba wenzio. Grow up kijana those poor mentalities u have won't help you unless you change.
badilisha simu we boya
 
Back
Top Bottom