ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
1900 - 1910: mapinduzi makubwa ya modern technology ya kisasa Kama magari, ndege etc.
1910 - 1920: Vita ya kwanza ya dunia
1920 - 1930: anguko kubwa la kiuchumi was dunia. ( Great depression)
1930 - 1940: Vita ya pili ya dunia
1940 - 1950: umoja wa mataifa unaanzishwa
1950 - 1960: kugawanyika kwa dunia mifumo miwili. (Capitalism & communism).
1960 - 1970: space age revolution. Wanadamu wanafika anga za juu ( space)
Mwanadamu anakanyaga kwenye mwezi.
1970 - 1980: Iran political revolution
1980 - 1990: ukimwi unagundulika, ukuta wa Berlin unaanguka, kuanguka kwa ujamma na ushindi wa ubepari
1990 - 2000: mapinduzi ya digital age from analog
2000 - 2010: ugaidi wa kimataifa, boko Haram, alqaida, alshabab.
2010 - 2020: Corona
2020 - 2030: ??????????
Tukio la unyakuo was kanisa laweza kutokea. Ni mawazo yangu
1910 - 1920: Vita ya kwanza ya dunia
1920 - 1930: anguko kubwa la kiuchumi was dunia. ( Great depression)
1930 - 1940: Vita ya pili ya dunia
1940 - 1950: umoja wa mataifa unaanzishwa
1950 - 1960: kugawanyika kwa dunia mifumo miwili. (Capitalism & communism).
1960 - 1970: space age revolution. Wanadamu wanafika anga za juu ( space)
Mwanadamu anakanyaga kwenye mwezi.
1970 - 1980: Iran political revolution
1980 - 1990: ukimwi unagundulika, ukuta wa Berlin unaanguka, kuanguka kwa ujamma na ushindi wa ubepari
1990 - 2000: mapinduzi ya digital age from analog
2000 - 2010: ugaidi wa kimataifa, boko Haram, alqaida, alshabab.
2010 - 2020: Corona
2020 - 2030: ??????????
Tukio la unyakuo was kanisa laweza kutokea. Ni mawazo yangu