Anamkubali sana huyu dogo, hata aliwahi kusema mchezaji pekee anakipiga pale Yanga ni Fei toto.Manara na mahaba kwa Fei totoView attachment 1914979
😁😁😁 Kumchukia huyu mpuuzi ni kupoteza tu muda!! Miezi michache tu iliyopita, alikua anatukera Wananchi! Eti leo anawakera mbumbumbu wenzake!!😁😁😁Anakwambia yeye ni professional spokesman, popote pale kwenye masilahi anafanya kazi😂😂😂.
You talk it all broAlitaka kumkata mwana, Kitenge alitaka kuitengeneza legacy yake kwenye tamasha la Mwananchi kama jinsi ambavyo Hajji alikuwa amefanya Simba Sc.
Ujio wa Hajji na namna alivyoiteka Mwananchi day na kwa namna alivyomfunika Kitenge, utaibua bifu la chinichini na fitina nyingi kati yao.
Wanachekeana hapo ila moyoni mwao hawajawahi kuwa marafiki.
Bila shaka roho yako imesuuzika Mwananchi mwenzangu baada tu ya kutajwa!!Aucho vp?
Unataka kusema hujamuona Billnass?Surprise iko wapi?
Uzi huu ni maalumu katika kukuletea matukio ya moja kwa moja kutoka katika kilele cha wiki ya mwananchi katika dimba la Mkapa
Hili ni sherehe maalum kwa timu ya Dar es Salaam Young Africans kwa ajili ya utambulisho wa kikosi kipya cha Yanga na benchi zima la ufundi
Leo tegemea kuwashuhudia wachezaji wapya waliosajiliwa kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa ligi kuu na mashindano ya kimataifa yaani CAF champions league
Karibuni katika uzi huu maalum kabisa katika siku maalum ya wananchi
Wananchi......... Sisi tuna watu...... View attachment 1914704View attachment 1914707View attachment 1914709View attachment 1914710
Katika utangulizi wa match za hapa uwanja wa Taifa kikosi cha vijana cha Yanga cha U-20 dhidi ya Cambiasso sports academy
FT.. Yanga U-20-1 vs Cambiasso 3
Huku kwa kikosi cha wanawake
Yanga princess 1 vs Ilala queens 1
Mdhamini wa klabu ya Yanga Gharibu Said Mohamed(GSM) tayari amewasili katika uwanja wa Mkapa pamoja na mwenyekiti wa Yanga Mshindo MsollaView attachment 1914741View attachment 1914742
View attachment 1914920
Hali ilivyo kwa Mkapa, kilele cha wiki ya Mwananchi yangasc.
Kweli hata Kindoki hakuwa na shoo mbovu ni uongozi tu wa yanga ulishindwa kumudu mshahara wake mkubwaSikumbuki Kama Kuna mkongomani yoyote aliyekuja Yanga akawa na shoo mbovu. Kuanzia wakina Tambwe Leya mbaka Tuisila na Mukoko. Kwa ujumla kazi za wakongoman pale Yanga zinajieleza zenyewe wanajituma Sana.