Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi kabisaKwenye kikosi hiki, Djuma Shabani Makambo ni usajili bora kwa watani zangu.
Hawa ZANACO wana kikosi solid sana, wamekamilika katika kila idara hasa midfielders na beki zake na ndio kitu kinachowafanya Yanga wasionekane kutawala mpira.
Moses Phiri ni habari nyingine kabisa, hapa sidhani kama kuna yoyote atakaebisha.
NB: Watani zangu mmepata kitu mlichokikosa kwa muda mrefu kidogo katika eneo la ushambuliaji (player ambae haonekani ila anatumia vyema makosa ya team kwaadhibu).
Yanga inawachezaji wazuri lakini hawana timu nzuri mpaka sasa.. hapa ndio utaona umuhimu wa mechi za kirafiki. Zanaco imekuwa na timu nzuri kuliko Yanga wanamuunganiko mzuri kitimu kwasababu wameshacheza mechi tisa za kirafiki hii ya leo ni mechi yao ya kumi.Kwenye kikosi hiki, Djuma Shabani Makambo ni usajili bora kwa watani zangu.
Hawa ZANACO wana kikosi solid sana, wamekamilika katika kila idara hasa midfielders na beki zake na ndio kitu kinachowafanya Yanga wasionekane kutawala mpira.
Moses Phiri ni habari nyingine kabisa, hapa sidhani kama kuna yoyote atakaebisha.
NB: Watani zangu mmepata kitu mlichokikosa kwa muda mrefu kidogo katika eneo la ushambuliaji (player ambae haonekani ila anatumia vyema makosa ya team kwaadhibu).
Tangu alipokuwapo Zahera hadi leo, Yanga haijawahi kuunganika, na huwa inaendelea kuutafuta muunganiko!Yanga inawachezaji wazuri lakini hawana timu nzuri mpaka sasa.. hapa ndio utaona umuhimu wa mechi za kirafiki. Zanazo imekuwa na timu nzuri kuliko Yanga wanamuunganiko mzuri kitimu kwasababu wameshacheza mechi tisa za kirafiki hii ya leo ni mechi yao ya kumi.
ule msimu ambao alikuwepo yanga hivi simba ilichukua ubingwa?Kwenye kikosi hiki, Djuma Shabani Makambo ni usajili bora kwa watani zangu.
Hawa ZANACO wana kikosi solid sana, wamekamilika katika kila idara hasa midfielders na beki zake na ndio kitu kinachowafanya Yanga wasionekane kutawala mpira.
Moses Phiri ni habari nyingine kabisa, hapa sidhani kama kuna yoyote atakaebisha.
NB: Watani zangu mmepata kitu mlichokikosa kwa muda mrefu kidogo katika eneo la ushambuliaji (player ambae haonekani ila anatumia vyema makosa ya team kwaadhibu).
kwasababu kila msimu wanasajili timu nzima, huwa siwaelewi kabisa watani, mwakan tena watasajili timu nzima sasa huo muunganiko wataupatajeTangu alipokuwapo Zahera hadi leo, Yanga haijawahi kuunganika, na huwa inaendelea kuutafuta muunganiko!
nyie wapulizeni tu walewe sifaKuna huyu dogo Mosses Phiri ana jambo lake hapa kwa Mkapa
Mark my words
atakua msaada sana pale yanga msimu huu kuhakikisha yanga inaendelea inabaki kwenye nafasi yake ile ile ya upiliHuyu makambo mbona wa [emoji91][emoji91] hivi ..
uwanja tu mmeujaza, kwa hilo nawapongeza
vipi katika hizo tuzo na ya manara ipo kwenye list?Dah inamana lile lisaa lizima lililopotea mda ule hawajaliona hawa jamaa mpaka dakika hii ndio waanze kugawa tuzo hii inaonyesha kuna vitu hawajajiandaa
Mbaya zaidi hiii timu ligi yao imesimama tangu Mwezi Juni hapo wamefanya kuitana oya oya twende Tanzania, halafu bado wanawatoa majasho watopoloKuna huyu dogo Mosses Phiri ana jambo lake hapa kwa Mkapa
Mark my words
Sasa kama anaupiga, asisifiwe, au?nyie wapulizeni tu walewe sifa
Hujui unachoongea wewe! Fuatilia! Jamaa wamepiga mechi nyingi sana za pre-season; mwisho last week walikuwa na mechi ya kirafiki, na wiki moja kabla ya hiyo, walikuwa pia na mechi ya kirafiki! Kwa haraka haraka hii ya leo ni karibu ya 5 kama sio zaidiMbaya zaidi hiii timu ligi yao imesimama tangu Mwezi Juni hapo wamefanya kuitana oya oya twende Tanzania, halafu bado wanawatoa majasho watopolo