Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Wakifungwa itakuwa safi sana..🤣🤣🤣Tunahujumiwaaaaaaaaaaaa
Tunaonewaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifungwa itakuwa safi sana..🤣🤣🤣Tunahujumiwaaaaaaaaaaaa
Tunaonewaaaaaaaaaaa
imekuwaje huko?Tunahujumiwaaaaaaaaaaaa
Tunaonewaaaaaaaaaaa
hahaha so wamepachika now wanasaka la kuongoza?Nimesema muda sio mrefu hapa, mmatoa Djuma mnaweka garasa PAULO matokeo yake ZANACO sasa inapanda kwa Kasi.
Hapa bado kuna goli jingine hapa,nyinyi mnachukulia mechi kiwepesi mnafanya sub za ajabuajabua mtaaibishwa😂.
Waharibu mara ngapi? tayariWanataka kuharibu shughuli ya Uto [emoji3][emoji3][emoji3]
hahahaa makambo yuko wapi mpaka timu inafikia hatua hii?Zanaco 2 Yanga 1
Karia mutu mubaya sana 🤣🤣imekuwaje huko?
Itakua TFF hao
ni kweli maana ulipotea kwa muda....Enhee tupe maujanja ya makambo hapo taifaJamani hapa tunatest tu mitambo wakuu
Zanaco 2 - 1 kidimbwiNipe matokeo huko
Anaihujumu yanga, afu yule manara ni pandikizi la simba yuko pale kuihujumu yanga inaezekana hii mechi kaiuza kwa wazambia, haaminiki yuleKaria mutu mubaya sana 🤣🤣
[emoji28][emoji28][emoji28]Zanaco 2 - 1 kidimbwi