Ligi ya Zambia ilisimama tangu lini kwani? Tuanzie hapoHujui unachoongea wewe! Fuatilia! Jamaa wamepiga mechi nyingi sana za pre-season; mwisho last week walikuwa na mechi ya kirafiki, na wiki moja kabla ya hiyo, walikuwa pia na mechi ya kirafiki! Kwa haraka haraka hii ya leo ni karibu ya 5 kama sio zaidi