MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kipa gani ana Sura ya Kike? Atafaa huyu?Kipa la wananchi Djigui DiarraView attachment 1914829
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipa gani ana Sura ya Kike? Atafaa huyu?Kipa la wananchi Djigui DiarraView attachment 1914829
Badala waangaike na team Yao huko Morocco wanaangaika na utopolo naona bado hawajamuona Konde boy aliyekuja Kwa Mkopo!!Inafurahisha sana kuwaona na nyinyi Moo fc mkifuatilia kwa ukaribu hili tukio muhimi la kufungia mwaka.
Timu la utopolo linawakerat kuanzia siku yao.U20 imepigwa team ya wanawake ime draw hapa tusubiri uto mkubwa kufungwa tu.
Mazwazwa wa Utopolo wamelishwa matango pori wamejazana kama senene kungojea kichokuwepoMbumbumbu FC wanaogopa kuchangia kwenye huu uzi!! [emoji16][emoji16]
Maulid huyu huyu muuza kisamvu cha kopo?Ngoja nimuite huyu mbumbumbu fc njaakalihatari aje amuone rafiki yake Maulid Baraka wa Kitenge anavyo upiga mwingi pale uwanjani.
Maulid huyu huyu muuza kisamvu cha kopo?
Hili ni bus la TATA?Kipa la wananchi Djigui DiarraView attachment 1914829
😁😁😁 NiNamuona Manara, Chama na konde boy wanasubiria kuingia uwanjani hapa!!!...
Mbumbumbu fc, unateseka ukiwa wapi!!! 😁😁😁Mazwazwa wa Utopolo wamelishwa matango pori wamejazana kama senene kungojea kichokuwepo
Mchicha mwiba huo na mke mmoja ameshajiondoa kwa sababu hiyo hiyo.Maulid Shababi wewe ,ana wake wanne na anapiga tizi hatari ,angekuwa anapelekewa moto asingeweze kuyafanya hayo.
Mnateseka nyie mazwazwa mliokwenda kuambukizana Corona[emoji16][emoji16][emoji16] Ni
Mbumbumbu fc, unateseka ukiwa wapi!!! [emoji16][emoji16][emoji16]