King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mchicha mwiba huo na mke mmoja ameshajiondoa kwa sababu hiyo hiyo.
Nitakuwa wa mwisho kuamini hayo maneno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchicha mwiba huo na mke mmoja ameshajiondoa kwa sababu hiyo hiyo.
Dar es Salaam is Green and YellowView attachment 1914883
Mpaka muda huu hata hawaamini kinachotokea uwanjani!Utawau Makolokolo FC kwa presha.
Na badooooo Wacongo wote mlionao mmepigwa amini usiamini mtani, wale jamaaa akili zao wanazijua waoha ha hapa kwa Mopao wananchi tumepigwa
Sikumbuki Kama Kuna mkongomani yoyote aliyekuja Yanga akawa na shoo mbovu. Kuanzia wakina Tambwe Leya mbaka Tuisila na Mukoko. Kwa ujumla kazi za wakongoman pale Yanga zinajieleza zenyewe wanajituma Sana.Na badooooo Wacongo wote mlionao mmepigwa amini usiamini mtani, wale jamaaa akili zao wanazijua wao
Kazingua sana ..Hii ni roho ya kinyongolilo
[emoji23][emoji23] mzee inaonekana roho imekuuma sana ..Watu wa Azam ni MAQUMA