Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekosea sana kumuimbisha kwa CD, yule jamaa anaweza sana live performance.Bado sijaelewa kama kofi kamaliza shoo
Majibu yote anayo huyu rafiki yake njaakalihatariHivi huyu sio kitenge anayemwaga mauno kwenye jukwaa la wananchi ?? ..
Yeye ndiye atakae watambulisha.MAAJABU YA DUNIA.
utambulisho wa wachezaji umeshaanza na mchezaji (Ditram Nchimbi Duma) ameshaitwa lakin shughuli imesimamishwa na Manara.
Duuh
Ofcourse anajitahidi! Na kwenye unafiki na kujitoa ufahamu, nadhani hiki kijamaa kina PhD aisee!!Huyu mwana ana nyota kali sana.
Hivi nchimbi huwa anacheza nini?
Alitaka kumkata mwana, Kitenge alitaka kuitengeneza legacy yake kwenye tamasha la Mwananchi kama jinsi ambavyo Hajji alikuwa amefanya Simba Sc.Kwahiyo Kitenge hakujua sio kazi yake kutambulisha wachezaji? Maajabu haya, tutaona bifu tu muda si mrefu
Anakwambia yeye ni professional spokesman, popote pale kwenye masilahi anafanya kazi😂😂😂.Ofcourse anajitahidi! Na kwenye unafiki na kujitoa ufahamu, nadhani hiki kijamaa kina PhD aisee!!
Yaani huwezi kuamini kama msimi ujao alikua na mbumbumbu fc!!