Matukio ya Ushoga duniani

Kwan hata huo uwezo wa kupinga mnao sasa? Au mnalia lia mitandaoni? Si ni tukio hili 1 tyuuh, but kuwa, mpoleee soon mtafurahishwaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo siku ya kufurahishwa bado haijafika bado ni ndoto.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnaopinga ushoga, huwa hamna sababu za msingi, yaan mnaokoteza vijisababu na vingne havina mantiki ili hali muoneshe pingamizi ni halali. Khaaaaaah

Hatareee sana

Na tutaendelea kupinga na kuhakikisha hamtapata nafasi kwenye jamii, mkafumuane marinda huko maporini lakini sio mbele yetu.
 
Katika Watu nilidhani wana akili na busara humu Jf wew ulikua mmoja wao,

Ila sasa heshima kwako nimeiondoa, yaani nimekudharau japo hatujuani wala sikusaidii chochote ila jua Culture Me wa JF amenishusha vyeo na kuniweka kundi la wajinga.
Kutofautina fikra na mitazamo ni hali ya kawaida kibinadamu na kimaumbile.....

Hongera kwa kuwa huru kifikra na kuheshimu utashi wa nafsi yako...

Uwe na wakati mwema wewe na wapendwa wako.......
 
Katika Watu nilidhani wana akili na busara humu Jf wew ulikua mmoja wao,

Ila sasa heshima kwako nimeiondoa, yaani nimekudharau japo hatujuani wala sikusaidii chochote ila jua Culture Me wa JF amenishusha vyeo na kuniweka kundi la wajinga.
Angalia wewe usijilinganishe na cocastic maana uliumbwa kuingizwa ingawa yeye aliumbwa aingize. Anaporuhusu nchipa wa mtu umuingie hapo ndipo shida ilipo.
 
Mie huko bar siendi na cna sababu ya kwenda, sasa kwa tukio hili huyu shoga ana hatia gan? Alikua sahihi kwenda ktk choo hicho ni cha jinsia yake.
Kuna siku nipo Amsterdam Bar Mbezi Beach nikakutana nalo shoga moja.. Limelendemka kama yai LA kisasa muda naenda short call nikalikutana nalenyewe linakojoa...

Aiseee!! Manusuraha nilikate mitama, basi niliogopa sheria mkononi.
- ila kifupi huwa nikiwaona hao watu nahisi kinyaa cha hatari naweza shindwa kula msosi.
 
Mie huko bar siendi na cna sababu ya kwenda, sasa kwa tukio hili huyu shoga ana hatia gan? Alikua sahihi kwenda ktk choo hicho ni cha jinsia yake.
Yeye ameikataa kabisa hiyo jinsia ya kiume anapaswa kwenda sehemu aliyo ichagua.
 
"Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah".Huu uandishi wako huu,sijui ngoja tu nikae kimya...
 
Huu ni us£ng£ huu, mtu kinyeo ni chake wewe na frustrations zako za kimaisha unataka kumpangia jindi ya kukitumia aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…