Matukio ya Ushoga duniani

Ulevi, uzinzi, wizi, ujambazi, ufanyike wazi wazi watoto ni sawa kuiga, pia ni vitu vizuri kuigwa?
Ulevi, wizi, ujambazi haupaswi pia kufanyika waziwazi na ukifanyika jamii ina taratibu zake za kutoa hukumu baada ya kumsikiliza mtuhumiwa.

USHOGA NI HATARI KWA UWEPO WA JAMII HUSIKA KUENDELEA, VIZAZI HAVIWEZI KUENDELEA IWAPO WANAOTUNGISHA MIMBA NI MASHOGA. SHOGA ANAYEFANYA MARKETING WAZIWAZI ASIPEWE HAKI YA KUSIKILIZWA, ADHIBITIWE KWA MASLAHI YA VIZAZI VIJAVYO. SHOGA LIKIPELEKWA MAHAKAMANI LIKASHINDA KESI LIKAWA LINASHANGILIA NI HATARI SANA KWA JAMII.
 
Haya ndio mambo unayoyapendaga, kwa muonekano wake si angeenda choo cha kike tu
 
Huyo jamaa kafanya jambo la msingi sana
 
hili puuzi
linaonekana lilikuwa na wateja hadi huko un, tamko linakuja. Kumbuka Mungu mwenyewe kwa dhambi hii aliamua kutoa Direct Punishment Sodoma na Gomora bila kusubiri Judgement Day. Kama aliyemuua kamuua kwa sababu ya hasira ya kweli kutoka moyoni kwa vitendo hivyo anaweza akasikilizwa utetezi wake siku ya Mwisho ila kama alinyimwa(sababu hayo madude yapo very selective) na kutumia hicho kama kisingizio kumdhuru KARMA haitamuacha salama.
 
Ulevi, uzinzi, wizi, ujambazi, ufanyike wazi wazi watoto ni sawa kuiga, pia ni vitu vizuri kuigwa?

Kuna baadhi ya vitu vinapaswa faraghani, hususan jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwa uendelevu wa jamii, siungi mkono kuua mashoga ila wayafanye huko huko ndani.
Itaniuma sana mwanangu kuiga ushoga, bora hata aige ujambazi afe huko kwa risasi lakini ushoga nitajilaumu sana wapi nilikosea kwenye malezi yake. Hivyo hatutaki wayafanye hadharani watoto wasije wakawaiga.
 
Na ww unaetetea mashoga ilitakiwa upate alichopata bi Emmanuel uende mbinguni kumtetea vizuri laanakum baradhuli ww
 
Fernando huendi mbinguni,,unataka utembee na jambia
 

Ingawa napnga mauaji lakini binafsi huwa nakereka nimuone mwanaume ana ndevu au anamwili wa kiume afu anaongea kwa mapozi kama mwanamke..,
Kifupi aibu huwa naona mm !!Naona kama tunadharirishwa!!….

sasa apo mwanaume kabisa amepaka wanja make up na anavaa kike afu uambiwe n mwanamke inachefua kwa kweli!!!…
Lakin bado napnga kumuua mwingine kisa tabia yake…,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…