Mood naomba unipeleke kwenye jukwaa husika lkn usiutoe ili to jadili kabla hatujaufunga mwaka 2017
Humu leta tukio la aina yoyote ile iliyotikisa jamii ya kitanzania na kama itakuwa ya nje basi iwe inahusu raia wa Tanzania,, iwe ya kisiasa, michezo, musiki, et all, ulizia na wajuzi watufafanulie
Hivi wale watu waliookolewa kwenye shimo la mgodi na kuishi kwa kula mende na magome ya miti wapo wapi sasa hivi?
Humu leta tukio la aina yoyote ile iliyotikisa jamii ya kitanzania na kama itakuwa ya nje basi iwe inahusu raia wa Tanzania,, iwe ya kisiasa, michezo, musiki, et all, ulizia na wajuzi watufafanulie
Hivi wale watu waliookolewa kwenye shimo la mgodi na kuishi kwa kula mende na magome ya miti wapo wapi sasa hivi?