LGE2024 Matukio Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

LGE2024 Matukio Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Iringa ni mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania, kati ya latitudo 6.540 na 100, na longitudo 33 na 37° Mashariki. Mkoa huu unachukua eneo la kilomita za mraba 58,936. Iringa ni mji wenye mandhari mazuri, uliopo katikati ya sekta ya chai nchini Tanzania.

Umejengwa kwenye mteremko wa mwamba juu ya Mto Ruaha Mdogo, na ni kituo kikuu cha safari kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha. Mchanganyiko wa usanifu majengo wa Kijerumani uliochakaa na ule wa Kiafrika wenye rangi angavu, huifanya Iringa kutofautiana na miji mingi ya Tanzania, huku ikiwa na historia tajiri. Ilikuwa karibu na hapa ambapo mwaka 1894, Chifu Mkwawa wa kabila la Wahehe alijenga ukuta wenye urefu wa kilomita 13 na urefu wa mita nne kwa lengo la kupambana na kuzuia ukoloni wa Wajerumani.

Majimbo ya Mkoa wa Iringa ni pamoja na; Iringa Mjini, Isimani, Kalenga, Kilolo, Mafinga Mjini, Mufindi Kaskazini na Mufindi Kusini.

SOMA PIA:
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Iringa ni 1,192,728; wanaume 574,313 na wanawake 618,415 katika wilaya 5 zifuatazo: Iringa Vijijini (wakazi 315,354), Mufindi (wakazi 288,996), Kilolo (wakazi 263,559), Iringa Mjini (wakazi 202,490), na Mafinga Mjini (wakazi 122,329).

Iringa.jpg

MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Iringa - Kata -18 Mitaa - 192

Mji wa Mafinga - Kata -9 Mitaa- 30 Vijiji -11 Vitongoji -50

MAMLAKA ZA WILAYA ZA MKOA WA IRINGA

1. Wilaya ya Iringa

Kata: 28
Vijiji: 134
Vitongoji: 745

2. Wilaya ya Kilolo

Kata: 24
Vijiji: 94
Vitongoji: 484

3. Wilaya ya Mufindi

Kata: 27
Vijiji: 121
Vitongoji: 561

4. Jumla Kuu

Kata: 106
Mitaa: 222
Vijiji: 360
Vitongoji: 1840

Hali ya Kisiasa

Katika mkoa wa Iringa kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2014 hadi sasa Chama Cha Mapinduzi kimeonekana kimechukua nafasi kubwa sana na ukitazama pia katika uchaguzi mkuu wa 2015 kati ya Majimbo 7 CCM walishinda viti 6 na CHADEMA walishinda kiti kimoja pekee.

Ambapo katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ilikuwa na mitaa 181, CCM ilipata 126, CHADEMA 54 na CUF ikipata mmoja, wakati Mufindi kati ya vijiji 39, CCM ilipata 35 na CHADEMA kimoja.Halmashauri ya Kilolo ambayo katika vijiji 81, CCM ilipata 78 na CHADEMA vitatu.

Ukitazama katika uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa mwaka 2019 kwa asilimia kubwa wenyeviti wa serikali za mitaa walipita pia bila kupingwa ambapo taswira hiyo ilionekaa pia katika uchaguzi mkuu wa 2020 ambapo majimbo yote katika mkoa wa Iringa yalichukuliwa na CCM.

Sasa katika kuelekea uchaguzi huu wa Serikali za mitaa tunaona au kushuhudia vyama vingine vya siasa kujipanga vyema zaidi ili kufanikisha kupata viti vya kutosha katika uchaguzi huu.

Pia, Soma:
 
Iringa ni mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania, kati ya latitudo 6.540 na 100, na longitudo 33 na 37° Mashariki. Mkoa huu unachukua eneo la kilomita za mraba 58,936. Iringa ni mji wenye mandhari mazuri, uliopo katikati ya sekta ya chai nchini Tanzania.

Umejengwa kwenye mteremko wa mwamba juu ya Mto Ruaha Mdogo, na ni kituo kikuu cha safari kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha. Mchanganyiko wa usanifu majengo wa Kijerumani uliochakaa na ule wa Kiafrika wenye rangi angavu, huifanya Iringa kutofautiana na miji mingi ya Tanzania, huku ikiwa na historia tajiri. Ilikuwa karibu na hapa ambapo mwaka 1894, Chifu Mkwawa wa kabila la Wahehe alijenga ukuta wenye urefu wa kilomita 13 na urefu wa mita nne kwa lengo la kupambana na kuzuia ukoloni wa Wajerumani.

Majimbo ya Mkoa wa Iringa ni pamoja na; Iringa Mjini, Isimani, Kalenga, Kilolo, Mafinga Mjini, Mufindi Kaskazini na Mufindi Kusini.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Iringa ni 1,192,728; wanaume 574,313 na wanawake 618,415 katika wilaya 5 zifuatazo: Iringa Vijijini (wakazi 315,354), Mufindi (wakazi 288,996), Kilolo (wakazi 263,559), Iringa Mjini (wakazi 202,490), na Mafinga Mjini (wakazi 122,329).


MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Iringa - Kata -18 Mitaa - 192

Mji wa Mafinga - Kata -9 Mitaa- 30 Vijiji -11 Vitongoji -50

MAMLAKA ZA WILAYA ZA MKOA WA IRINGA

1. Wilaya ya Iringa

Kata: 28
Vijiji: 134
Vitongoji: 745

2. Wilaya ya Kilolo

Kata: 24
Vijiji: 94
Vitongoji: 484

3. Wilaya ya Mufindi

Kata: 27
Vijiji: 121
Vitongoji: 561

4. Jumla Kuu

Kata: 106
Mitaa: 222
Vijiji: 360
Vitongoji: 1840

Hali ya Kisiasa

Katika mkoa wa Iringa kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2014 hadi sasa Chama Cha Mapinduzi kimeonekana kimechukua nafasi kubwa sana na ukitazama pia katika uchaguzi mkuu wa 2015 kati ya Majimbo 7 CCM walishinda viti 6 na CHADEMA walishinda kiti kimoja pekee.

Ambapo katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ilikuwa na mitaa 181, CCM ilipata 126, CHADEMA 54 na CUF ikipata mmoja, wakati Mufindi kati ya vijiji 39, CCM ilipata 35 na CHADEMA kimoja.Halmashauri ya Kilolo ambayo katika vijiji 81, CCM ilipata 78 na CHADEMA vitatu.

Ukitazama katika uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa mwaka 2019 kwa asilimia kubwa wenyeviti wa serikali za mitaa walipita pia bila kupingwa ambapo taswira hiyo ilionekaa pia katika uchaguzi mkuu wa 2020 ambapo majimbo yote katika mkoa wa Iringa yalichukuliwa na CCM.

Sasa katika kuelekea uchaguzi huu wa Serikali za mitaa tunaona au kushuhudia vyama vingine vya siasa kujipanga vyema zaidi ili kufanikisha kupata viti vya kutosha katika uchaguzi huu.

Pia, Soma:
Baada ya Msigwa kujileftisha tuone mambo yatakuaje
 
Iringa nao wapo kama hawapo, leo ndiyo leo tema Msigwa vs Team Mbowe
 
Iringa ni mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania, kati ya latitudo 6.540 na 100, na longitudo 33 na 37° Mashariki. Mkoa huu unachukua eneo la kilomita za mraba 58,936. Iringa ni mji wenye mandhari mazuri, uliopo katikati ya sekta ya chai nchini Tanzania.

Umejengwa kwenye mteremko wa mwamba juu ya Mto Ruaha Mdogo, na ni kituo kikuu cha safari kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha. Mchanganyiko wa usanifu majengo wa Kijerumani uliochakaa na ule wa Kiafrika wenye rangi angavu, huifanya Iringa kutofautiana na miji mingi ya Tanzania, huku ikiwa na historia tajiri. Ilikuwa karibu na hapa ambapo mwaka 1894, Chifu Mkwawa wa kabila la Wahehe alijenga ukuta wenye urefu wa kilomita 13 na urefu wa mita nne kwa lengo la kupambana na kuzuia ukoloni wa Wajerumani.

Majimbo ya Mkoa wa Iringa ni pamoja na; Iringa Mjini, Isimani, Kalenga, Kilolo, Mafinga Mjini, Mufindi Kaskazini na Mufindi Kusini.

SOMA PIA:
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Iringa ni 1,192,728; wanaume 574,313 na wanawake 618,415 katika wilaya 5 zifuatazo: Iringa Vijijini (wakazi 315,354), Mufindi (wakazi 288,996), Kilolo (wakazi 263,559), Iringa Mjini (wakazi 202,490), na Mafinga Mjini (wakazi 122,329).


MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Iringa - Kata -18 Mitaa - 192

Mji wa Mafinga - Kata -9 Mitaa- 30 Vijiji -11 Vitongoji -50

MAMLAKA ZA WILAYA ZA MKOA WA IRINGA

1. Wilaya ya Iringa

Kata: 28
Vijiji: 134
Vitongoji: 745

2. Wilaya ya Kilolo

Kata: 24
Vijiji: 94
Vitongoji: 484

3. Wilaya ya Mufindi

Kata: 27
Vijiji: 121
Vitongoji: 561

4. Jumla Kuu

Kata: 106
Mitaa: 222
Vijiji: 360
Vitongoji: 1840

Hali ya Kisiasa

Katika mkoa wa Iringa kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2014 hadi sasa Chama Cha Mapinduzi kimeonekana kimechukua nafasi kubwa sana na ukitazama pia katika uchaguzi mkuu wa 2015 kati ya Majimbo 7 CCM walishinda viti 6 na CHADEMA walishinda kiti kimoja pekee.

Ambapo katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ilikuwa na mitaa 181, CCM ilipata 126, CHADEMA 54 na CUF ikipata mmoja, wakati Mufindi kati ya vijiji 39, CCM ilipata 35 na CHADEMA kimoja.Halmashauri ya Kilolo ambayo katika vijiji 81, CCM ilipata 78 na CHADEMA vitatu.

Ukitazama katika uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa mwaka 2019 kwa asilimia kubwa wenyeviti wa serikali za mitaa walipita pia bila kupingwa ambapo taswira hiyo ilionekaa pia katika uchaguzi mkuu wa 2020 ambapo majimbo yote katika mkoa wa Iringa yalichukuliwa na CCM.

Sasa katika kuelekea uchaguzi huu wa Serikali za mitaa tunaona au kushuhudia vyama vingine vya siasa kujipanga vyema zaidi ili kufanikisha kupata viti vya kutosha katika uchaguzi huu.

Pia, Soma:


 
Back
Top Bottom