Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkoa wa Songwe ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania yenye postikodi namba 54100, ukiwa ulimegwa kutoka Mkoa wa Mbeya mwaka 2016. Jina la mkoa limetokana na Mto Songwe. Makao makuu ya mkoa huu yako Vwawa.
Mkoa wa Songwe una majimbo sita (6); Momba, Tunduma, Songwe, Vwawa, Mbozi na Ileje, ambapo Jimbo la Mbozi linaongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi (269,896), likifuatiwa na Jimbo la Momba (259,781). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Ileje, ambalo lina watu 125,869
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Songwe ni 1,344,687; wanaume wakiwa 643,679 na wanawake 701,008.
Soma Pia:
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA SONGWE
Mkoa wa Songwe una Halmashauri tano (5), ambazo ni Mamlaka za Miji na Mamlaka za Wilaya.
MAMLAKA ZA MIJI
Mji wa Tunduma
Kata: 15
Mitaa: 71
Jumla ya Mamlaka za Miji: Kata 15, Mitaa 71
SOMA PIA
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Ileje
Kata: 18
Vijiji: 71
Vitongoji: 316
Wilaya ya Mbozi
Kata: 29
Vijiji: 121
Vitongoji: 666
Wilaya ya Momba
Kata: 14
Vijiji: 72
Vitongoji: 295
Wilaya ya Songwe
Kata: 18
Vijiji: 43
Vitongoji: 205
Jumla ya Wilaya za Mkoa: Kata 79, Vijiji 307, Vitongoji 1,482
Kwa ujumla, Muhtasari wa Mkoa wa Songwe una Kata 94, Mitaa 71, Vijiji 307, na Vitongoji 1,482, hali inayoonesha uwiano mzuri wa maendeleo katika mkoa husika.
Pia, soma
Mkoa wa Songwe una majimbo sita (6); Momba, Tunduma, Songwe, Vwawa, Mbozi na Ileje, ambapo Jimbo la Mbozi linaongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi (269,896), likifuatiwa na Jimbo la Momba (259,781). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Ileje, ambalo lina watu 125,869
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Songwe ni 1,344,687; wanaume wakiwa 643,679 na wanawake 701,008.
Soma Pia:
- Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024
- TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba
- Mchengerwa: Matokeo ya uchaguzi kutangazwa ndani ya saa 72
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA SONGWE
Mkoa wa Songwe una Halmashauri tano (5), ambazo ni Mamlaka za Miji na Mamlaka za Wilaya.
MAMLAKA ZA MIJI
Mji wa Tunduma
Kata: 15
Mitaa: 71
Jumla ya Mamlaka za Miji: Kata 15, Mitaa 71
SOMA PIA
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Ileje
Kata: 18
Vijiji: 71
Vitongoji: 316
Wilaya ya Mbozi
Kata: 29
Vijiji: 121
Vitongoji: 666
Wilaya ya Momba
Kata: 14
Vijiji: 72
Vitongoji: 295
Wilaya ya Songwe
Kata: 18
Vijiji: 43
Vitongoji: 205
Jumla ya Wilaya za Mkoa: Kata 79, Vijiji 307, Vitongoji 1,482
Kwa ujumla, Muhtasari wa Mkoa wa Songwe una Kata 94, Mitaa 71, Vijiji 307, na Vitongoji 1,482, hali inayoonesha uwiano mzuri wa maendeleo katika mkoa husika.
Pia, soma
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Mapokezi makubwa ya Rais Samia Mkoani Songwe
- Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Songwe Yakubali Mwaliko wa Mbunge wa Jimbo la Momba
- Songwe: Katibu wa CCM avamiwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa miguu yote miwili
- Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho
- ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi
- Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe
- Songwe: UVCCM umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi cha kampeni na uchaguzi
- Songwe: Jeshi la Polisi linawashikilia Gidion Siame na Fiston Haonga wa CHADEMA kwa kosa la kujeruhi