mbona hakuna alieleza alihandle vipi hizo case za infidelity?
Hiyo mama ni thread inayojitegemea.mbona hakuna alieleza alihandle vipi hizo case za infidelity?
Ngoja nitoke nje nikacheke kwanza lol! Hahahahahahahaha! dah! Kabla sijatoka kamata kwanza hii:Nilikua na ka-bangaluu kangu kadogo mitaa ya chuo flan.......nikaenda kukatembelea jioni moja.....kama mjuavyo ukifika kwenye vyumba vya wanavyuo unavulia viatu milango (si wanaweka zile kapeti za plastiki?).....mi nikavua na kuingia ndani....
Bahati nzuri ibilisi katuzidi nguvu na tukafunga mlango kwa funguo....
Ile natoka (ilkua kama saa 5 usiku) nikakuta sendoz zangu zimeota miguu (zimetoweka ka mpira wa jabulani)....
Nilikua na ka-bangaluu kangu kadogo mitaa ya chuo flan.......nikaenda kukatembelea jioni moja.....kama mjuavyo ukifika kwenye vyumba vya wanavyuo unavulia viatu milango (si wanaweka zile kapeti za plastiki?).....mi nikavua na kuingia ndani....
Bahati nzuri ibilisi katuzidi nguvu na tukafunga mlango kwa funguo....
Ile natoka (ilkua kama saa 5 usiku) nikakuta sendoz zangu zimeota miguu (zimetoweka ka mpira wa jabulani)....
Nilikua na shida kuu tatu hapa:hahahaha hujamaliza baada ya kisa mkasa home ulisema kibaka amezipitia ukiwa wapi au unafanya nini???????????
Nilitengeneza hadithi hii (i had plently of time)..
Nilikua nimekaa bar na mshkaji (ilibidi nimtafute same night kumpa ishu yenyewe), akaja jamaa anaejifanya 'shoe shiner' kanipa zile ndala katoweka na 'my dear sendoz'....
Hope she bought....wiki iliyopita kaniuliza ka nishawahi kumwona yule 'shoe shiner'.....
BTW: Hapa nimejilipua....akipita hapa mi kishnei!
HEHEHE!
huyu ni professional infidelator
Gosh nashindwa kuamini:sick:
Hiyo mama ni thread inayojitegemea.
Haya tuambie kuna siku mzee alirudi home kavaa sandals za baamedi? kuwa wazi tu mama tupate uzoefu:fish2:
Hahahahaha! hapa nimecheka sana. ngoja nami nilete habari yangu......... subirini kidogoNilikua na ka-bangaluu kangu kadogo mitaa ya chuo flan.......nikaenda kukatembelea jioni moja.....kama mjuavyo ukifika kwenye vyumba vya wanavyuo unavulia viatu milango (si wanaweka zile kapeti za plastiki?).....mi nikavua na kuingia ndani....
Bahati nzuri ibilisi katuzidi nguvu na tukafunga mlango kwa funguo....
Ile natoka (ilkua kama saa 5 usiku) nikakuta sendoz zangu zimeota miguu (zimetoweka ka mpira wa jabulani)....
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:bado sana
nawe tuambie basi ile siku umekuja na kufuli la dasophy ikawaje?
Hapa natafakari kisingizio cha kuchelewa home.....WC imekua fupi mno....FIFA waongeze iwe mwaka mzima....I mean ili apatikane bingwa halali basi zicheze mtindo wa ligi na iwe ni nchi zote duniani (this includes Bongo)....
lakini kwa vile nimeshapata experience hapa kuwa si kila ukiambiwa mwenzio kalala lupango ni kweli sidanganyiki!!!!!!!!!!Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:
Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.
Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.
Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:
Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.
Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.
Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2: