Matukio yanayonipa maswali baada ya kuona mkesha wa kumsubiri mama Samia kuzindua mradi wa maji Mwanga

Matukio yanayonipa maswali baada ya kuona mkesha wa kumsubiri mama Samia kuzindua mradi wa maji Mwanga

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Leo nipo mwanga nimepita jirani na uwanja wa Msuya nimeona shamrashamra SIO za kawaida, mji mdogo lakini Leo kumekua Hadi na foleni, wageni ñaona NI wengi sana.

Nachojiulza nimekutana na vibinti vidogo Sana Yani kama wanafunzi hivi wametolewa Wilaya za jirani Moshi na same kuja kwenye MKESHA WA kumsubiri RAISI, najiulza Kwa purukushani zile hawa mabinti wadogo sijui ni wanafunzi wamevaa t-shirt za CCM mmewamwaga hapa kutoka Wilaya jirani wanalala Kwa utaratbu gani? Au ndio wanapewa mafunzo ya kuanzia kudanga mapema!?

Ama Kwa hakika hii ndio nchi tajiri afrika, nikiwaza hizo NI Kodi za Raia zinaliwa tokea juzi kwenye Nyamachoma Arusha Hadi Leo Mwanga nashangaa Sana! Sidhani hata kama nchi zilizoendelea ulaya zina matumizi makubwa ya sherehe zisizo na kichwa wala miguu kama hizo! MRADI WA MAJI ni level za kuzinduliwa na mkuu WA Wilaya au mkuu WA Mkoa Rais anatakiwa maranyingine awakilishwe!

Kama wewe NI mzazi WA MWANGA,Same au Moshi Una binti yako unajua ni Mwanafunzi kabebwa na magari ya CCM kwenda kumlaki Raisi Kesho KUZINDUA MRADI WA MAJI andika maumivu, hili disco nalolisikia na hawa mabinti Leo bikra zitavunjwa sana.

Najiuliza pia hawa waliovaa t-shirt za CCM kama wanapewa posho na hizo gari zinavyomwaga watu si gharama kubwa Sana? Hivi kumbe hii nchi ni tajiri hivyo?
 
Leo nipo mwanga nimepita jirani na uwanja wa Msuya nimeona shamrashamra SIO za kawaida, mji mdogo lakini Leo kumekua Hadi na foleni, wageni ñaona NI wengi sana.

Nachojiulza nimekutana na vibinti vidogo Sana chuchu sa6 Yani kama wanafunzi hivi wametolewa Wilaya za jirani Moshi na same kuja kwenye MKESHA WA kumsubiri MTUKUFU RAISI, najiulza Kwa purukushani zile hawa mabinti wadogo sijui ni wanafunzi wamevaa t-shirt za CCM mmewamwaga hapa kutoka Wilaya jirani wanalala Kwa utaratbu gani? Au ndio wanapewa mafunzo ya kuanzia kudanga mapema!?

Ama Kwa hakika hii ndio nchi tajiri afrika, nikiwaza hizo NI Kodi za Raia zinaliwa tokea juzi kwenye Nyamachoma Arusha Hadi Leo Mwanga nashangaa Sana! Sidhani hata kama nchi zilizoendelea ulaya zina matumizi makubwa ya sherehe zisizo na kichwa wala miguu kama hizo! MRADI WA MAJI ni level za kuzinduliwa na mkuu WA Wilaya au mkuu WA Mkoa Rais anatakiwa maranyingine awakilishwe!

Kama wewe NI mzazi WA MWANGA,Same au Moshi Una binti yako unajua ni Mwanafunzi kabebwa na magari ya CCM kwenda kumlaki Raisi Kesho KUZINDUA MRADI WA MAJI andika maumivu, hili disco nalolisikia na hawa mabinti Leo bikra zitavunjwa sana.

Najiuliza pia hawa waliovaa t-shirt za CCM kama wanapewa posho na hizo gari zinavyomwaga watu si gharama kubwa Sana? Hivi kumbe hii nchi ni tajiri hivyo?
mwezi wa tsa tunapata wajomba wa kushato
 
Mzazi una timamu zako unaruhusu vipi binti yako asombwe na maCcm,,
 
Back
Top Bottom