binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kunywa maji ya kandoro na karanga kila siku! 😂Zingatia tukio la kubadilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa maji ya kandoro na karanga kila siku! 😂Zingatia tukio la kubadilisha
We jamaa Fala sana 😂😂😂pombe! juzi nilitandika whisky si nikawabadirikia mabaunsa wa bar nikajiona mimi ndo ninja!! kuna watu wanajua kupiga mabanzi nyie hapo nikala na mtama mmoja tu kazi ikaisha! niliwaachia shati nikaenda zangu kulala huku nikishukuru baunsa mmoja alinibeba akanirusha nami sikuichezea nafasi nikatua kininja nikaunga mbio lkn masikioni nikiwa nasikia wiuwiuwiuwiu!..
Kama hutojali, tudadavulie kidogo upekee wake!Nimewahi kuwa huko. Lile dhehebu hapana. I hope ametoka huko., la neema ya mungu itamtoa huko.
Inasikitisha sana!hilo dhehebu lilimfanya mtoto wa dingi mkubwa akafa akiwa kapuku wakat kabla hajajiunga nao alikuwa mfanyabiashara mzuri tu, nyumba kadhaa njiro arusha. hotel ya nyota tatu sakina, mgodi mirerani na mundarara, ila vyote kanisa likajimilikisha chni ya mchungaj, mtoto wake wa kiume ambaye alikuwa anapambana na mchungaji juu ya mali za mama yake alikufa kifo cha utatanishi sana,
Ni dhehebu la Kikristo? Itikadi yao ikoje?Kuna hawa wameibukia sikuhizi wa CHANZO HALISI, wanakwambia BILA CHANZO HALISI HUTOBOI.... HERIIIIIII
Wewe imekubadilije?Kula kitimoto...inabadili mustakabali wote kuhusu nyama...
Ulichoandika kina ukweli ndani yake!Pata Hela tukujue Tabia yako, kosa pesa uijue tabia ya mkeo.
Kwa sasa nimejua ni tamu kuliko kuku...hivyo huwezi nidanganya tena yani akili imebadilika kabisa...😄😄😄😄Wewe imekubadilije?
Nakubali ni tamu, lakini haifikii utamu wa kuku wa kienyeji!Kwa sasa nimejua ni tamu kuliko kuku...hivyo huwezi nidanganya tena yani akili imebadilika kabisa...😄😄😄😄
Pole, get well soonHata sasa nipo Hospitali
Ndoa, pesa, hivyo si vitu vizuri?Mbona matukio yote mabaya.
Mhh sijui mdomoni mwako aiseeNakubali ni tamu, lakini haifikii utamu wa kuku wa kienyeji!
Kuna watu wanapatwa na hayo yote lakini bado Mungu anawainua tena.Ongeza.
- Kufilisika.
- Kusalitiwa na rafiki wa karibu.
- Kifo cha mzazi.
- Kuvunjika moyo (heart broken).
- Pale unapogundua hakuna mtu anaekuja kukusaidia.
KabisaMarafiki uletwa na pesa
Labda kwa vile nina muda sijaila! Hebu nifanyie mpango wa kanusu kilo nijikumbushie kisha nikupe mrejesho!Mhh sijui mdomoni mwako aisee
😄😄😄😄Labda kwa vile Nina muda sijaila! Hebu nifanyie mpango wa kanusu kilo nijikumbushie kisha nikupe mrejesho!