Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida mkuuSina knowledge na hivi vitu mkuu.
ma jobless kuku roga ni kugusa😂Uchaguzi ujao natangaza Nia kama LISU ya kugombania nafasi yako mh Rais! 🤣
Mimi ndugu yako utanifanyia ivo kabisa? Si Demokrasia Mh Rais 😂ma jobless kuku roga ni kugusa😂
Mtapigwa na wahuni mchana kweupe. Serikali haijawahi kutoa tangazo kama hilo. Hao ni wahuni wa kitaa ndo wanatoa hizo pdf fakeMkuu wewe hukulioma Tangazo la Serikali lililotoa nafasi kwa wahitimu kurekebisha majina ya vyeti vya shule viandane na majina ya NIDA?
Nafikiri affidavit ile ile ya mwanzo inaweza kutumika provided kwamba ameitwa kupitia Majina na nyaraka alizowasilisha kabla
Wenzio tuna matatizo, uki tuona lazima ukimbie 😆Mimi ndugu yako utanifanyia ivo kabisa? Si Demokrasia Mh Rais 😂
Niliwahi kuajiriwa Serikalini na kupata hard check # na kila kitu with only affidavitNafikiri affidavit ile ile ya mwanzo inaweza kutumika provided kwamba ameitwa kupitia Majina na nyaraka alizowasilisha kabla
Affidavit ni kielelezo halali ku-certify nyaraka nyingi muhimu hata Kwa mtu anayetaka kuasili mtoto/watotoNiliwahi kuajiriwa Serikalini na kupata hard check # na kila kitu with only affidavit