Ndani ya miezi miwili tumeshuhudia viongozi wakubwa wawili toka enzi za awamu ya mwendazake wakikutana na madhila makubwa tu kutokana na tabia yao ya kujikomba/kujipendekeza/kujiparata kwa kiongozi anayehusika na teuzi na mamlaka ya kinidhamu dhidi yao.
Hawa ni wafuatao:
1. Lengai ole Sabaya - Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai
2. Albert Chalamila - Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza.
Walitumia media ili kutafuta kiki lakini wote waliumbuka. Toa maoni yako!!!!
Hawa ni wafuatao:
1. Lengai ole Sabaya - Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai
2. Albert Chalamila - Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza.
Walitumia media ili kutafuta kiki lakini wote waliumbuka. Toa maoni yako!!!!