Matumizi mabaya ya neno 'Mlonganzila'

Matumizi mabaya ya neno 'Mlonganzila'

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Mlonganzila ni jina la Hospitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na hii inatokana na hosipitali huwa kujinasibu kuwa wana uwezo wa kufanya BBL yaani Brazilian butt lift hii ni oparesheni maalum apewayo mtu ili kuongeza ukubwa wa makalio.

Kwa sasa imekuwa kila akipita mtu espeshali mwanamke mwenye kalio kubwa utasikia "cheki mlongazila hiyo", binafsi naona siyo sawa.
 
Lugha adhimu kiswahili haikujua hilo,ile ni pwani

Ina native and settler kwenye set la, wao wanatumia lugha ipi

Mana iko pwani
 
Mlonganzila ni jina la hosipitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na hii inatokana na hosipitali huwa kujinasibu kuwa wana uwezo wa kufanya BBL yaani Brazilian butt lift hii ni oparesheni maalum apewayo mtu ili kuongeza ukubwa wa makalio..kwa sasa imekuwa kila akipita mtu espeshali mwanamke mwenye kalio kubwa utasikia "cheki mlongazila hiyo" binafsi naona siyo sawa

Hizo ndiyo mada za wale vijana pendwa wa yule nguli:

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)
 
Mlonganzila ni jina la hosipitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na hii inatokana na hosipitali huwa kujinasibu kuwa wana uwezo wa kufanya BBL yaani Brazilian butt lift hii ni oparesheni maalum apewayo mtu ili kuongeza ukubwa wa makalio..kwa sasa imekuwa kila akipita mtu espeshali mwanamke mwenye kalio kubwa utasikia "cheki mlongazila hiyo" binafsi naona siyo sawa
Mbona Tigo wamevumilia miaka karibu 20?
 
We jamaa ubongo wako una 128MB katika ishu za kuchakata mambo..

Kilichotokea hapo ni ishu za MISIMU
Maneno ambayo huzuka na kupotea..

Sasa Katika upatikanaji wa misimu ndi utajua sababu ya watu kutumia hilo neno..

Sasa wewe unaona sio sawa wakati ni neno la mda tu
 
Mlonganzila ni jina la hosipitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na hii inatokana na hosipitali huwa kujinasibu kuwa wana uwezo wa kufanya BBL yaani Brazilian butt lift hii ni oparesheni maalum apewayo mtu ili kuongeza ukubwa wa makalio..kwa sasa imekuwa kila akipita mtu espeshali mwanamke mwenye kalio kubwa utasikia "cheki mlongazila hiyo" binafsi naona siyo sawa
Ujue mkuu wewe ndiye unayelipromote hilo neno sasa!
 
Picha linaanza wewe mwenyewe hujui hiyo hospitali inaitwaje unashangaa kuona hao wakiita hivyo?

Ni mloganzila na sio mlonganzila kama ulivyoandika .....✋✋
 
Mlonganzila ni jina la hosipitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na hii inatokana na hosipitali huwa kujinasibu kuwa wana uwezo wa kufanya BBL yaani Brazilian butt lift hii ni oparesheni maalum apewayo mtu ili kuongeza ukubwa wa makalio..kwa sasa imekuwa kila akipita mtu espeshali mwanamke mwenye kalio kubwa utasikia "cheki mlongazila hiyo" binafsi naona siyo sawa
Wamejitakia
Waliona wivu wakiitwa chura
 
We jamaa ubongo wako una 128MB katika ishu za kuchakata mambo..

Kilichotokea hapo ni ishu za MISIMU
Maneno ambayo huzuka na kupotea..

Sasa Katika upatikanaji wa misimu ndi utajua sababu ya watu kutumia hilo neno..

Sasa wewe unaona sio sawa wakati ni neno la mda tu
Umekua sir wa kiswahili dogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona ghaflaa sana?
 
Back
Top Bottom