Matumizi mabaya ya neno 'Mlonganzila'

Matumizi mabaya ya neno 'Mlonganzila'

We jamaa ubongo wako una 128MB katika ishu za kuchakata mambo..

Kilichotokea hapo ni ishu za MISIMU
Maneno ambayo huzuka na kupotea..

Sasa Katika upatikanaji wa misimu ndi utajua sababu ya watu kutumia hilo neno..

Sasa wewe unaona sio sawa wakati ni neno la mda tu
Aah wapi? Ili mradi ni kiungo pendwa kwa wanaumee basi hilo neno haliwezi kupotea.
Neno wowowo lina miaka zaidi ya 30 na bado linatumika
 
Umekua sir wa kiswahili dogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona ghaflaa sana?
Ety kwanza nambie maana ya ndo za kikatoliki ndo nini 🤔🤔🤔🙏🙏🙏😂😂😂😂😂😂😂
 
Ety kwanza nambie maana ya ndo za kikatoliki ndo nini [emoji848][emoji848][emoji848][emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushaanza uwaki wako, ulivyokula hela za wizoo?
Lazima ndoa ifungwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aah wapi? Ili mradi ni kiungo pendwa kwa wanaumee basi hilo neno haliwezi kupotea.
Neno wowowo lina miaka zaidi ya 30 na bado linatumika
Wowowo lilitokana na kitu gani...
😂😂😂😂😂😂
Na je miaka 30 yote hiyo unazani limewekwa kwenye kamusi..?
 
Ushaanza uwaki wako, ulivyokula hela za wizoo?
Lazima ndoa ifungwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nielekeze kwanza....
Sijala hela za mtu mimi khaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wowowo lilitokana na kitu gani...
😂😂😂😂😂😂
Na je miaka 30 yote hiyo unazani limewekwa kwenye kamusi..?
Wowowo ilitokana na bendi ya kuitwa Mk group, kilikuwa kionjo ,wanaimba " njoo tucheze tukunyenya wowowoo" FB_IMG_1716295657157.jpg
FB_IMG_1716295657157.jpg
 
Kuna mwalimu mmoja mtu alikuwa anatokea PWANI anasema hayo maneno yana asili ya uzaramuni.

Mfano;
Neno kama mwananyamala likimaanisha “mtoto nyamaza”

neno kama mwanagati likimaanisha “mwanamagati ambaye kwa wazaramu ni mtoto wa kwanza wakike kuzaliwa katika familia.

hivyo basi neno Mloganzila watu wa PWANI wanasema limetokana na mtu ambaye alikuwa akipenda kuongea mwenyewe kipindi anatoka shamba .

Kwa kizaramu ni MLONGA HANZILA Yaani mtu anayesema sema njiani.

wazaramu wana msemo wao ukisema “MLONGA HANZILA KAMLONGELA MUNHU YONHA”

Hilo ni neno Ambalo asili yake si hospitali mkuu.

Ndugu zangu wazaramu watanisahihisha kama nimekosea.
 
Mlonganzila ni jina la hosipitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na hii inatokana na hosipitali huwa kujinasibu kuwa wana uwezo wa kufanya BBL yaani Brazilian butt lift hii ni oparesheni maalum apewayo mtu ili kuongeza ukubwa wa makalio..kwa sasa imekuwa kila akipita mtu espeshali mwanamke mwenye kalio kubwa utasikia "cheki mlongazila hiyo" binafsi naona siyo sawa
Hiyo Mlonganzila ipo wapi?
 
We jamaa ubongo wako una 128MB katika ishu za kuchakata mambo..

Kilichotokea hapo ni ishu za MISIMU
Maneno ambayo huzuka na kupotea..

Sasa Katika upatikanaji wa misimu ndi utajua sababu ya watu kutumia hilo neno..

Sasa wewe unaona sio sawa wakati ni neno la mda tu
We mqndu mwenye GB unlimited unakuja ku comment kwenye thread ya mtu mwenye insufficient bytes
 
Hiyo Mlonganzila ipo wapi?
Ni hosipitali ambayo ni tawi la hosipitali ya taifa Muhimbili wameipa sifa mbaya maana imekuwa maarufu kama hosipitali inayo fanya oparesheni ya kuongeza makalio ....ipo maeneo ya mbezi kimara huko
 
Back
Top Bottom