Matumizi mabaya ya neno 'Mlonganzila'

Aah wapi? Ili mradi ni kiungo pendwa kwa wanaumee basi hilo neno haliwezi kupotea.
Neno wowowo lina miaka zaidi ya 30 na bado linatumika
 
Umekua sir wa kiswahili dogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona ghaflaa sana?
Ety kwanza nambie maana ya ndo za kikatoliki ndo nini πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ™πŸ™πŸ™πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ety kwanza nambie maana ya ndo za kikatoliki ndo nini [emoji848][emoji848][emoji848][emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushaanza uwaki wako, ulivyokula hela za wizoo?
Lazima ndoa ifungwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aah wapi? Ili mradi ni kiungo pendwa kwa wanaumee basi hilo neno haliwezi kupotea.
Neno wowowo lina miaka zaidi ya 30 na bado linatumika
Wowowo lilitokana na kitu gani...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na je miaka 30 yote hiyo unazani limewekwa kwenye kamusi..?
 
Ushaanza uwaki wako, ulivyokula hela za wizoo?
Lazima ndoa ifungwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nielekeze kwanza....
Sijala hela za mtu mimi khaaaaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wowowo lilitokana na kitu gani...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na je miaka 30 yote hiyo unazani limewekwa kwenye kamusi..?
Wowowo ilitokana na bendi ya kuitwa Mk group, kilikuwa kionjo ,wanaimba " njoo tucheze tukunyenya wowowoo"
 
Kuna mwalimu mmoja mtu alikuwa anatokea PWANI anasema hayo maneno yana asili ya uzaramuni.

Mfano;
Neno kama mwananyamala likimaanisha β€œmtoto nyamaza”

neno kama mwanagati likimaanisha β€œmwanamagati ambaye kwa wazaramu ni mtoto wa kwanza wakike kuzaliwa katika familia.

hivyo basi neno Mloganzila watu wa PWANI wanasema limetokana na mtu ambaye alikuwa akipenda kuongea mwenyewe kipindi anatoka shamba .

Kwa kizaramu ni MLONGA HANZILA Yaani mtu anayesema sema njiani.

wazaramu wana msemo wao ukisema β€œMLONGA HANZILA KAMLONGELA MUNHU YONHA”

Hilo ni neno Ambalo asili yake si hospitali mkuu.

Ndugu zangu wazaramu watanisahihisha kama nimekosea.
 
Hiyo Mlonganzila ipo wapi?
 
We mqndu mwenye GB unlimited unakuja ku comment kwenye thread ya mtu mwenye insufficient bytes
 
Hiyo Mlonganzila ipo wapi?
Ni hosipitali ambayo ni tawi la hosipitali ya taifa Muhimbili wameipa sifa mbaya maana imekuwa maarufu kama hosipitali inayo fanya oparesheni ya kuongeza makalio ....ipo maeneo ya mbezi kimara huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…