Nimefanya utafiti kwangu mimi mwenyewe ndio nikagunduwa huo ungunduzi wangu kuwa asali inao uwezi wa kusafisha Ini na Figo ukiitumia siku 40 Mfululizo na pia itakuwezesha wewe Mwanamme Dushelele (Penis) lako kusimama kila wakati unapo taka kulitumia kimapenzi kazi kwenu.
Ndio Sahihi kuchanganya Maji ya Moto na Asali na Tangawizi na Mdalasini unatibu maradhi mengi tu mwilini mwako mkuu.
LUSA.Mimi nilifanyiwa upasuaji na kidonda kikachelewa sana kupona nikashauriwa kuwa nasafisha kidonda na eusol au hydrogen peroxide halafu unapakaza asali ktk kidonda. Mwanzo nilishangaa sana.. lakini nilipona kwa muda mfupi mnoasali inasaidia mtu aliyefanyiwa upasuaji wa tumbo?anatumiaje
LUSA.Mimi nilifanyiwa upasuaji na kidonda kikachelewa sana kupona nikashauriwa kuwa nasafisha kidonda na eusol au hydrogen peroxide halafu unapakaza asali ktk kidonda. Mwanzo nilishangaa sana.. lakini nilipona kwa muda mfupi mno
It is good brother, thanks a lot!
Mkuu unapiga asali lakini?
Unaweza kuchanganya pamoja ukala haina madhara kabisa.Kimoja kimoja au unaweza kufanya mchanganyiko wa pamoja? MziziMkavu
Unaweza kuchanganya pamoja ukala haina madhara kabisa.
PENDELEENI KUTUMIA LIMAU,TANGAWIZI MBICHI NA KITUNGUU SAUMU HIVI VITATU VINATIBU MARADHI SUGU MWILINI.
Unaweza kutumia ndimu badala ya Limao poa tuMziziMkuu, samahani huku nilipo kuna patikana zaidi ndimu kuliko limao. Je, naweza kutumia ndimu badala ya limao ktk huo mseto??
Hayafai unatakiwa utengeneze wewe mwenyewe.je maji ya kitunguu swaumu yanayouzwa dukani yanafaa kwa kunywa kWA sababu yameandikwa ina chua maratatu