ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Wote humu JF tunatumia smartphone nyingi ni zile zenye android systm na nyingine nying ni ukweli kuwa simu zetu zinatofautiana sana uwezoo katika kufungua mafile na vingine vingi pia wapo wanao tumia computer hasa pc sasa niende kwenye mada
Najua hii kidogo itasaidia hasa kipindi hiki cha vyuo na vingine vingi kuna watu wengi wana lalamika kuwa wanashindwa kuona majina ya chuo walicho chaguliwa kwasababu simu zao hazina uwezo wa kufungua PDF FILE kuepuka hilo mm ningeomba tu uweze kwenda playstore udownload app inaitwa WPS office hii app ni bure na itakusaidia kufungua file na matangazo yote utakayo weza kudownload hii itaepusha usumbufu wa kuomba mtu fulani akuangalizie jina fulabi au kitu fulani... hivyo mimi ningeomba kwa wale ambao mnashindwa kufungua file zenu za pdf mdownload hiyo kitu kwa upande fulani itasaidia
Kitu kingine ni hiki mtu anaweza sema chuo fulani wametoa majina au kitu fulani utakuta mtu anasema weka link au nitaonaje hicho kitu? Mimi nikwambie kitu ukisikia kitu hicho atakuwa amekusaidia wewe cha kufanya nenda google andika jina la taasisi au chuo tajwa halafu search mambo zitatokea pale click jina la chuo litakalo kuwa limetokea pale ikifunguka unakuwa umefungua moja kwa moja website husika na utaona mwenyewe kwa macho yako kama mtu ana nyongeza aweke pia tusaidiane
Tusipende sana kila kitu kutafuniwa hasa katika ulimwengu huu wa science na technologia...mimi naamini smartphone yako inakila kitu so hapo itasaidia sema ni utundu tu wa mtu kuna jukwaa la science na tech humu ukijaribu kupita na kule tutapat vingi hebu tujaribu kuwa wadadisi
Mimi yangu ni hayo kama nimekujwaza samahani na kama una cha kuongeza au kusema karibuniii...naamini hiyo app ya aina hiyo haipo moja karibuni kama nyingine unaifahamu uitaje tusaidiane
KARIBU
Najua hii kidogo itasaidia hasa kipindi hiki cha vyuo na vingine vingi kuna watu wengi wana lalamika kuwa wanashindwa kuona majina ya chuo walicho chaguliwa kwasababu simu zao hazina uwezo wa kufungua PDF FILE kuepuka hilo mm ningeomba tu uweze kwenda playstore udownload app inaitwa WPS office hii app ni bure na itakusaidia kufungua file na matangazo yote utakayo weza kudownload hii itaepusha usumbufu wa kuomba mtu fulani akuangalizie jina fulabi au kitu fulani... hivyo mimi ningeomba kwa wale ambao mnashindwa kufungua file zenu za pdf mdownload hiyo kitu kwa upande fulani itasaidia
Kitu kingine ni hiki mtu anaweza sema chuo fulani wametoa majina au kitu fulani utakuta mtu anasema weka link au nitaonaje hicho kitu? Mimi nikwambie kitu ukisikia kitu hicho atakuwa amekusaidia wewe cha kufanya nenda google andika jina la taasisi au chuo tajwa halafu search mambo zitatokea pale click jina la chuo litakalo kuwa limetokea pale ikifunguka unakuwa umefungua moja kwa moja website husika na utaona mwenyewe kwa macho yako kama mtu ana nyongeza aweke pia tusaidiane
Tusipende sana kila kitu kutafuniwa hasa katika ulimwengu huu wa science na technologia...mimi naamini smartphone yako inakila kitu so hapo itasaidia sema ni utundu tu wa mtu kuna jukwaa la science na tech humu ukijaribu kupita na kule tutapat vingi hebu tujaribu kuwa wadadisi
Mimi yangu ni hayo kama nimekujwaza samahani na kama una cha kuongeza au kusema karibuniii...naamini hiyo app ya aina hiyo haipo moja karibuni kama nyingine unaifahamu uitaje tusaidiane
KARIBU