Matumizi sahihi ya body splash, body spray na perfume

Jinsia yako plse!
 
Unafaa kwa matumizi ya binadamu[emoji39] [emoji39]
 


duh iseee. 😡😡😡 mnh ila haya makemikali tusiyaamini sana,
 
kwani ni dakika ngapi kufanya hayo mambo? ujue kaka zetu mnauzi sometimes na vikwapa vyenu hadi basi .ndo maana hata mechi tunatoa chini ya kiwango .hata kupaka deodorant inahitaji muda?
Mi sinuki kwapa wala minguu! isitoshe siwezi vaa boxer au sox siku mbili. Kila jioni nafua wakati wa kuoga.
 
Mi sinuki kwapa wala minguu! isitoshe siwezi vaa boxer au sox siku mbili. Kila jioni nafua wakati wa kuoga.
hata kama kwani ukijipaka ka deodorant kuna shida gani unukie fresh kuna raha yake jamani.wake zenu wanawaacha tu hivohivo?
 
hata kama kwani ukijipaka ka deodorant kuna shida gani unukie fresh kuna raha yake jamani.wake zenu wanawaacha tu hivohivo?
natumia iseyi miyaki. ila sina makorobwero ka jamaa.
mi naongelea hayo makorobwezo, sio kwamba situpii unyunyu.
 
Hapa huu mjadala hautsisha,kuna watu wengi sana wanaamini kwamba mtu anayetumia Perfume au Deodorants ananuka jasho au ana harufu mbaya,sio kweli kabisa,wengi wa wapenzi wa manukato ni watu wanaopenda kunukia manukato/kunukia vizuri na si vinginevyo.
 
Hapa huu mjadala hautsisha,kuna watu wengi sana wanaamini kwamba mtu anayetumia Perfume au Deodorants ananuka jasho au ana harufu mbaya,sio kweli kabisa,wengi wa wapenzi wa manukato ni watu wanaopenda kunukia manukato/kunukia vizuri na si vinginevyo.
nani kasema hivo!
 
nyie ndo mnachafua mazingira nyie kanunue hata deodorant ya nivea 6000
Jaman sio sisi hao wanatumia haruf za viwanda ndio wachafuz na izo haruf za viwandani zinawastiri minuko yao.....kama na wewe unatumia harufu ya kiwandan basi nakuexlud wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…