Matumizi sahihi ya body splash, body spray na perfume

Matumizi sahihi ya body splash, body spray na perfume

Mkuu hayo ni machache sana na kuna mengine cjaorodhesha, hlf elewa mtoa mada kaomba kuelekezwa, we kama unahic hapakufai n bora upite tu
OK mkubwa sijapanic sema umenielewa vibaya nimeshangaa mambo uliyotaja, sorry kama nimekuudhi
 
kwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.
Unatumia muda gani kufanya yote hayo?
kweli sisi wengine hatunaga swaga.
 
Ivi me nipo sayari gani wandugu.....mi nshazoea babycare ndio nshamaliza kila kitu naingia mtaani...yan kuna vitu ntaulizwa mbinguni nishangae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.
Daah. Unatoa wapi muda huo
 
kwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.
Mmh vitu vyote hivyo unajipulizia..!? Utakua unanukia kama pilau..
 
Habari zenu warembo na watanashati,

Nilikua naomba kujua jinsi ya kutumia hivi vitu vitatu je, body splash, body spray na perfume vinatumikaje kila kimoja.

Naomba kujuzwa namna sahihi i hope na wengine watajifunza.

Karibuni
Perfume unapulizia katika nguo,body spray inatumika katika mwili kuweka haruf nzuri sana sana inatumika makwapani kuleta haruf nzry mda wote,na body splasher ni kama body spray unapaka mwilin ila harufu yake aichuki masaa,hua inapotea mara moja,ni kama refresher ya mwili tu ,inakua na haruf nzry but haidumu inapotea.kuna zile splash zipo ktk vichupa vyake sio mfumo wa spray unaweka ktk mikono then ndio unajipaka mwilin,na kuna zile mfumo wa spray.
 
Back
Top Bottom