OK mkubwa sijapanic sema umenielewa vibaya nimeshangaa mambo uliyotaja, sorry kama nimekuudhiMkuu hayo ni machache sana na kuna mengine cjaorodhesha, hlf elewa mtoa mada kaomba kuelekezwa, we kama unahic hapakufai n bora upite tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK mkubwa sijapanic sema umenielewa vibaya nimeshangaa mambo uliyotaja, sorry kama nimekuudhiMkuu hayo ni machache sana na kuna mengine cjaorodhesha, hlf elewa mtoa mada kaomba kuelekezwa, we kama unahic hapakufai n bora upite tu
nobdy panicked hr, i'm xor 4 my profanity, i ddn't mn that.......OK mkubwa sijapanic sema umenielewa vibaya nimeshangaa mambo uliyotaja, sorry kama nimekuudhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ivi me nipo sayari gani wandugu.....mi nshazoea babycare ndio nshamaliza kila kitu naingia mtaani...yan kuna vitu ntaulizwa mbinguni nishangae
Papuchi ni sehemu ya bodyKwani ni body splash au papuchi splash mkuu??
Unatumia muda gani kufanya yote hayo?kwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.
Akikujibu niiteWewe ni ke au me?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ivi me nipo sayari gani wandugu.....mi nshazoea babycare ndio nshamaliza kila kitu naingia mtaani...yan kuna vitu ntaulizwa mbinguni nishangae
less than 20 minutesUnatumia muda gani kufanya yote hayo?
kweli sisi wengine hatunaga swaga.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ivi me nipo sayari gani wandugu.....mi nshazoea babycare ndio nshamaliza kila kitu naingia mtaani...yan kuna vitu ntaulizwa mbinguni nishangae
iseyimiyaki bei gani?? mkuunatumia iseyi miyaki. ila sina makorobwero ka jamaa.
mi naongelea hayo makorobwezo, sio kwamba situpii unyunyu.
Daah. Unatoa wapi muda huokwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.
Nilinunua 160000.iseyimiyaki bei gani?? mkuu
kujipanga tu, kwani ukiwa unachomoka saa 1:30 asubuhi huwez panga muda wa kujiandaa......??Daah. Unatoa wapi muda huo
Mmh vitu vyote hivyo unajipulizia..!? Utakua unanukia kama pilau..kwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.
Perfume unapulizia katika nguo,body spray inatumika katika mwili kuweka haruf nzuri sana sana inatumika makwapani kuleta haruf nzry mda wote,na body splasher ni kama body spray unapaka mwilin ila harufu yake aichuki masaa,hua inapotea mara moja,ni kama refresher ya mwili tu ,inakua na haruf nzry but haidumu inapotea.kuna zile splash zipo ktk vichupa vyake sio mfumo wa spray unaweka ktk mikono then ndio unajipaka mwilin,na kuna zile mfumo wa spray.Habari zenu warembo na watanashati,
Nilikua naomba kujua jinsi ya kutumia hivi vitu vitatu je, body splash, body spray na perfume vinatumikaje kila kimoja.
Naomba kujuzwa namna sahihi i hope na wengine watajifunza.
Karibuni
Kwahiyo huna tofauti na dada zetu,ukitaka kutoka lzm ukae kwenye kioo zaidi ya dk 45,Tanzania ya viwanda itawezekana kweli mkuuless than 20 minutes
Stop being stupid hombre, you've told tc less than 20 mns, y u kp pushin' t......??Kwahiyo huna tofauti na dada zetu,ukitaka kutoka lzm ukae kwenye kioo zaidi ya dk 45,Tanzania ya viwanda itawezekana kweli mkuu
Kujipenda hakuna mwanamke wala mwanaume watanzania mwenzangu vpmmh hivi we ni mwanaume kweli? daah