Matumizi ya AI kujibu maswali vyuoni ni kudumaza akili

Matumizi ya AI kujibu maswali vyuoni ni kudumaza akili

Nakumbuka kila assignment tutakayopewa either iwe individual au group sisi tunatumia tu bot letu kwisha kazi hakuna cha kwenda library wala nini, kwnz hata discussion hakuna ni bot ty daaah hili taifs mbeleni watazalishwa wasomi hewa [emoji1][emoji1][emoji1]
Aisee
 
Kwa Mhadhiri anaesoma na kujua kazi yake hutatoboa mana Kiingereza cha mwanafunzi kinaeleweka!
 
Kwa Mhadhiri anaesoma na kujua kazi yake hutatoboa mana Kiingereza cha mwanafunzi kinaeleweka!
Kingereza nakichapa fresh tu mbn both speaking and writing mkuu, kikubwa nikuedit some cumbersome words[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa sasa AI inafanya tasks ila haifanyi “job” kazi nzima . Kwa anayetumia AI vizuri na anaipa tasks then majibu ataya combine kazi yake ataimaliza Kwa haraka bila shida
 
Hio anasababisha wasomi wasioelewa maana mtu aliesoma kitumia AI tu hasa kozi za economics uchumi wa nchi lazima uporomokeee[emoji1][emoji1][emoji1]
Uchumi utaporomokaje ikiwa AI yenyewe inaweza kukupa alternatives na majibu fasaha kuhusu uchumi. Hapo ni sawa useme kwamba ukitumia calculator kufanya pure mathematics, huwezi kuwa mwana mahesabu mzuri, Ambayo siyo ukweli.
 
Hayo ni maendeleo na wala siyo kudumaza akili. Kwani zilizogunduliwa calculator akili zetu zilisimama?

Ukiona hivyo ujue elimu kwa sasa siyo dili, hiyo sector inapaswa kuboreshwa na katika ufundishaji. Na katika maboresho muda wa masomo ipunguzwe, kama degree inachukua miaka 3, sasa iwe miaka 1. Waache kuwa wanawapa maswali mbuzi ambayo tayari AI anafanya.

Mfano, ATM za bank zilipofungwa, tellers wengi walikuwa replaced, ila hao tellers lazima walipata kazi zingine maana walikuwa useless.

Wanafunzi kuliko kukaa darasani na kukariirishwa ujinga, ni bora waende shambani walime kilimo cha kisasa, kazi ambayo AI haiwezi fanya.
Ni maendeleo tutaishi humo bila ya wasiwasi...Miaka hiyo watu walikuwa wanakosoa simu za touch ila leo za button zimepotezwa.
 
Ni maendeleo tutaishi humo bila ya wasiwasi...Miaka hiyo watu walikuwa wanakosoa simu za touch ila leo za button zimepotezwa.
Yah, AI ni tool kama tools zingine kama simu, ATM, calculator, Google, social media, etc. Tools zote zipo ili kurahisisha maisha ya mwanadamu. Tusiogope kuzitumia
 
Sinaga ham nalo ilo yalinikuta pale UDOM wakati wa interview
 
Haya mambo yanavyokua yanaletwa ,ni lazima Taifa lijiulize kama liko tayari au?.

Na kama liko tayari lkn haliwezi kukabiliana kwakua ni la lazima, je Taifa limejiandaaje??.


Wachina wanatumga Sheria itakayowabana Raia hususani watoto wa miaka chini yaiaka 18, kutumia Mitandao Jamii Kwa Masaa 2 tu Kwa Siku.


Bongo, watoto Masaa 24 wako mitandaon, kufikia 2050, TAIFA LITAKUA NA VIPOFU WENGI, VIPOFU WA MACHO, NA VIPOFU WA AKILI.
 
Uchumi utaporomokaje ikiwa AI yenyewe inaweza kukupa alternatives na majibu fasaha kuhusu uchumi. Hapo ni sawa useme kwamba ukitumia calculator kufanya pure mathematics, huwezi kuwa mwana mahesabu mzuri, Ambayo siyo ukweli.
Creativity and innovation hakuna utabaki kuitegemea tu AI
 
Haya mambo yanavyokua yanaletwa ,ni lazima Taifa lijiulize kama liko tayari au?.

Na kama liko tayari lkn haliwezi kukabiliana kwakua ni la lazima, je Taifa limejiandaaje??.


Wachina wanatumga Sheria itakayowabana Raia hususani watoto wa miaka chini yaiaka 18, kutumia Mitandao Jamii Kwa Masaa 2 tu Kwa Siku.


Bongo, watoto Masaa 24 wako mitandaon, kufikia 2050, TAIFA LITAKUA NA VIPOFU WENGI, VIPOFU WA MACHO, NA VIPOFU WA AKILI.
Mazombi yanayotoa ulimi nje na kukatika miuno wkt wenzao kila siku wanafny mapinduzi
 
Creativity and innovation hakuna utabaki kuitegemea tu AI
Yaani unachosema hapo hakina tofauti ya kusema, usipande gari tembea kwa miguu, Maana ukipanda gari utapata ajari na mwili wako utakosa mazoezi.

Hizi ni mindset za kijinga na uoga , kama machine inaweza kufanya vizuri kwanini usitumie machine kurahisisha kazi?

AI haiwezi replace human being, human tutaendelea kufanya shughuli mbalimbali ambazo AI haiwezi kufanya.
 
Yaani unachosema hapo hakina tofauti ya kusema, usipande gari tembea kwa miguu, Maana ukipanda gari utapata ajari na mwili wako utakosa mazoezi.

Hizi ni mindset za kijinga na uoga , kama machine inaweza kufanya vizuri kwanini usitumie machine kurahisisha kazi?

AI haiwezi replace human being, human tutaendelea kufanya shughuli mbalimbali ambazo AI haiwezi kufanya.
AI haina umuhimu wowote bongo labda kama akili zako zimelala chali
 
Naombeni AI Nzuri nataka nifanye ujenzi nahisi itanisaidia baadhi ya calculations
 
NATAFUTA WATU WA AINA 3

1. SIJAPATA AJIRA LAKINI:
- Nimechoka kukaa nyumbani bila kufanya chochote.
~ Nataka kujenga urithi kwa familia yangu.
~ Nahitaji Kipato changu Mwenyewe

2. NIMEAJIRIWA LAKINI:
- Mshahara wangu hautoshi kukidhi mahitaji yangu yote.
~ Nahitaji kipato cha ziada.
~ Natafuta utulivu/uhuru wa kifedha.
~ Nimechoka kusubiri mshahara kila mwezi.

3. NAPENDA KUSAFIRI LAKINI:
~Siwezi kumudu.
~ Mapato yangu ya kila mwezi hayaniruhusu kuweka akiba kwa likizo. ~Sina uhuru wa kifedha.

• Tunatoa Fursa ya Biashara kwa kila mtu ambaye anataka kutimiza malengo na ndoto zake huu mwaka 2024

If You are Interested, Feel free to CLICK THE LINK [emoji116] FOR MORE | WORK WITH ME
[emoji117] In WhatsApp teilen
 
Back
Top Bottom