Matumizi ya ARV

Matumizi ya ARV

Mungu Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
1,474
Reaction score
1,080
Leo nikiwa kwenye baa moja nilipata kusikia watu wakijadiliana mada ya matumuzi ya ARV na pombe. Waendesha mada walikuwa wanasema kwamba mtumiaji wa ARV anaweza kunywa dawa na baada ya masaa 3 akanywa pombe. Je kama ni kweli imekaa namna gani? Professional Doctorz only.
 
Back
Top Bottom